Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Ikifika wiki ijayo kuanzia Jumatatu nitafafanua kwa kina zaidi.
Kuna taarifa kwamba mmiliki wa gazeti 'Mbongo' amekuwa kwenye majadiliano na makubaliano ya mwisho wiki hii (sijui ya lazima au hiari) kuhusu uwezekano wa kununua gazeti lake au kufungwa kwa maslahi mapana ya GS ijayo.
Mwenyekiti anategemea vyombo vya habari vitamsaidia kufanya Promo hivyo mkakati uliopo ni kuvinunua vyote au kuvifungia mpaka upepo huo upite.
Gazeti "Mbongo" lipo kwenye hatua za mwisho kuwa mali za chama rasmi baada ya Ch10 na Maajabu ef'em!
Kuna taarifa kwamba mmiliki wa gazeti 'Mbongo' amekuwa kwenye majadiliano na makubaliano ya mwisho wiki hii (sijui ya lazima au hiari) kuhusu uwezekano wa kununua gazeti lake au kufungwa kwa maslahi mapana ya GS ijayo.
Mwenyekiti anategemea vyombo vya habari vitamsaidia kufanya Promo hivyo mkakati uliopo ni kuvinunua vyote au kuvifungia mpaka upepo huo upite.
Gazeti "Mbongo" lipo kwenye hatua za mwisho kuwa mali za chama rasmi baada ya Ch10 na Maajabu ef'em!