Tetesi: Gazeti la 'Mbongo' huenda likauzwa au kufungwa wiki ijayo..

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,432
7,055
Ikifika wiki ijayo kuanzia Jumatatu nitafafanua kwa kina zaidi.

Kuna taarifa kwamba mmiliki wa gazeti 'Mbongo' amekuwa kwenye majadiliano na makubaliano ya mwisho wiki hii (sijui ya lazima au hiari) kuhusu uwezekano wa kununua gazeti lake au kufungwa kwa maslahi mapana ya GS ijayo.

Mwenyekiti anategemea vyombo vya habari vitamsaidia kufanya Promo hivyo mkakati uliopo ni kuvinunua vyote au kuvifungia mpaka upepo huo upite.

Gazeti "Mbongo" lipo kwenye hatua za mwisho kuwa mali za chama rasmi baada ya Ch10 na Maajabu ef'em!
 
Napendekeza serikali iajiri wahariri wake katika vyombo vyote vya habari.
Hii itaepusha habari isiyotakiwa kuruka
 
Ikifika wiki ijayo kuanzia Jumatatu nitafafanua kwa kina zaidi.

Kuna taarifa kwamba mmiliki wa gazeti 'Mbongo' amekuwa kwenye majadiliano na makubaliano ya mwisho wiki hii (sijui ya lazima au hiari) kuhusu uwezekano wa kununua gazeti lake au kufungwa kwa maslahi mapana ya GS ijayo.

Mwenyekiti anategemea vyombo vya habari vitamsaidia kufanya Promo hivyo mkakati uliopo ni kuvinunua vyote au kuvifungia mpaka upepo huo upite.

Gazeti "Mbongo" lipo kwenye hatua za mwisho kuwa mali za chama rasmi baada ya Ch10 na Maajabu ef'em!
What is GS?
 
Ikifika wiki ijayo kuanzia Jumatatu nitafafanua kwa kina zaidi.

Kuna taarifa kwamba mmiliki wa gazeti 'Mbongo' amekuwa kwenye majadiliano na makubaliano ya mwisho wiki hii (sijui ya lazima au hiari) kuhusu uwezekano wa kununua gazeti lake au kufungwa kwa maslahi mapana ya GS ijayo.

Mwenyekiti anategemea vyombo vya habari vitamsaidia kufanya Promo hivyo mkakati uliopo ni kuvinunua vyote au kuvifungia mpaka upepo huo upite.

Gazeti "Mbongo" lipo kwenye hatua za mwisho kuwa mali za chama rasmi baada ya Ch10 na Maajabu ef'em!
Mwenyekiti anatapatapa Atatangazwa na matendo yake magazeti ni makaratasi tu
 
Back
Top Bottom