MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Ile thread mods wameifunga ngoja niseme hapa!
Mwigulu Nchemba wewe kama kiongozi wa chama kikongwe kama CCM unawezaje kuropoka matusi ya kumwita Dr Slaa "NO BODY" tena kwenye public forum kama JF?
Dharau hii inatokana na nini? Mambo ya polisi kuhusu Lwakatare umeyajuaje wakati wewe si polisi wala afisa usalama? Hivi hujui umri wako sahihi? au utasema umeteleza?
Mwigulu Nchemba wewe kama kiongozi wa chama kikongwe kama CCM unawezaje kuropoka matusi ya kumwita Dr Slaa "NO BODY" tena kwenye public forum kama JF?
Dharau hii inatokana na nini? Mambo ya polisi kuhusu Lwakatare umeyajuaje wakati wewe si polisi wala afisa usalama? Hivi hujui umri wako sahihi? au utasema umeteleza?
Last edited by a moderator: