Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Watanzania tumefikia hapo, tuache kulalamika kwa sababu mambo haya tumeyataka na tunaendelea kuyataka wenyewe. Tusubirini ushahidi kamili. Kazi mbaya ukiwa nayo, ukitamani vita usiogope mabomu.
Habari ikiwahusu mnaita uchochezi mbona za upande wa pili kashfa matusi kejeli huwa zinatoka wapi kama mnajua ni uchochezi?