Gazeti la "Los Angeles Times" laandika: Magufuli akataa uwepo wa COVID, baadhi ya wananchi waanza kukataa kukubaliana naye

Dunia nzima inamtambua Rais Magufuli kama kiongozi jasiri mwenye maono!
Mkuu kutambulika si hoja,hoja ni kwamba unatambulika kwa mambo gani? Je ni kwa hii misimamo ya kijinga na isiyo na tija si kwake binafsi wala taifa lake
 
Corona ni mchezo wa watu wa Dunia ya kwanza kuendelea kuwa juu!!

Vita ya Corona si yetu, Bali ni Yao wakijaribu kushindana na Mungu!!

Hapa Sisi ni watazamaji tukiendelea kupiga kazi kama kawaida
IMG-20210131-WA0022.jpg
 
Mkuu kutambulika si hoja,hoja ni kwamba unatambulika kwa mambo gani? Je ni kwa hii misimamo ya kijinga na isiyo na tija si kwake binafsi wala taifa lake
Umepotea njia, dunia nzima wanapinga chanjo hizi
 
Dunia nzima inamtambua Rais Magufuli kama kiongozi jasiri mwenye maono!
Rudi ilula ukageme ulanzi na kulima nyanya utunze familia ili ikukumbuke siku za mbeleni! Mmebaki wachache Sana humu msioamini kuwa ofisi za magu zimejaa na hahitaji kuteua Tena!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom