Gazeti la "Kulikoni" lafungiwa miezi mitatu; kutoka Jumatatu?

- Mukulu Invisible heshima sana kwa hii tangulizo, bado tunasbiri habari yenyewe ili tuchambue facts,

- Ingawa anytime serikali inaporukia vyombo vya habari huwa ni dalili zisizo njema kwa the future ya taifa on the freedom of speech!

Respect.

FMEs!

Wakuu,

Hivi kwa nini hii sheria ya kuipa nguvu serikali kufungia vyombo vya habari bado inaendelea kukubalika itumike? Mimi nilidhani kama gazeti likiandika habari zisizosahihi wahariri na mchapishaji wanapashwa kupelekwa mahakamani na kudaiwa fidia lakini si kufungiwa. Hivi tunaweza kudiriki kusema Tanzania kuna uhuru wa vyombo vya habari kwa mtindo huu kweli?

Tiba
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 24 (2 members and 22 guests) !!!!!!
Nyie guest karibu jamvini!

Mkuu kwani wewe mgeni? Watanzania ni waoga huwa hawapendi kuitwa ushahidi mahakamani hata wakiwa wanatumia pen names.

Hao unaowaona wageni ni members ambao wamekubuhu hapa.
 
Mkuchika wafungieni pia na UN kwa taarifa ya kulihusisha jeshi la tanzania na uuzaji wa silaha kwa nchi za maziwa makuu. Hapa tunahisi kuna ukweli. Hebu fikiri Mseveni kachukua nchi kijeshi akitokea Tz, buyoya vivyo hivyo, kabila mkubwa halikadhalika sasa hizo silaha za kuiangusha serikali iliyo madarakani walizipata wapi? Ukuzingatia wote walitokea Tz??
 
1. Magazeti ya kibongo hayana adabu wala principles
2. Serikali ya Tanzania ina run a police state
3. Ukichanganya 1 + 2 wala huwezi kushangaa hii move, imefanyika kwa sababu zinazojumuisha yote mawili hayo.Serikali imechemsha na waandishi wamechemsha.
 
who's that Guy Lusimbi???? ni Mkuu wa Geshi lipi la ntchi!

Huyu Rusimbi alikuwa ni Col. wa JWTZ ambae alikuwa in charge wa recruitment ya askari; inasemekana alifukuzwa huko baada ya kupata kashfa katika zoezi la kuajiri askari!!
 
nimekua nikifuatilia MATANGAZO KUPITIA itv Hapa Mpwapwa, jambo moja limeniacha kinywa wazi ni matangazo juu ya toleo la gazeti la KULIKONI Jumatatu, sasa serikali ilitangaza kuwatoa hewani kqwa siku 90/miezi mitatu.
hebu waungwana nijulisheni hii adhabu inaanza lini.
 
nimekua nikifuatilia MATANGAZO KUPITIA itv Hapa Mpwapwa, jambo moja limeniacha kinywa wazi ni matangazo juu ya toleo la gazeti la KULIKONI Jumatatu, sasa serikali ilitangaza kuwatoa hewani kqwa siku 90/miezi mitatu.
hebu waungwana nijulisheni hii adhabu inaanza lini.

Inaanza kesho Jumatatu, tarehe 11/01/2010.

Kama ITV warun promo za Kulikoni la kesho kuna mawili
1. Gazeti la kesho lilishatayarishwa wiki hii nzima, na leo kabla ya saa 6 usiku linaingizwa distribution then hata likisambazwa kesho bado sio kosa.
2. Mzee kaamua kutunisha msuli nani zaidi kati yake na serikali.

Tusubiri tuone yatokanayo.
 
Inaanza kesho Jumatatu, tarehe 11/01/2010.

Kama ITV warun promo za Kulikoni la kesho kuna mawili
1. Gazeti la kesho lilishatayarishwa wiki hii nzima, na leo kabla ya saa 6 usiku linaingizwa distribution then hata likisambazwa kesho bado sio kosa.
2. Mzee kaamua kutunisha msuli nani zaidi kati yake na serikali.

Tusubiri tuone yatokanayo.

Pasco, ni lazima sasa atokee mtu wa kusema NO! Inatosha! Kulikoni na IPP kwa ujumla imekua ikiisaidia sana serikali ss kwa story wanayoisema kwa kweli wamechemsha; ss kesho kuna na story ingine ya JWTZ na kigongo kingine kikali zaidi ya wizi wa mitihani, usije kuona kesho FFU au MP wakatumika kukusanya magazeti mtaani.
 
Tanzania kutawaka moto tu tena sio mbali wananchi wamechoka kuona Chama Cha Majambazi kinavyokula keki ya taifa peke yao tena bila aibu. Kinakuala na wageni huku walipa kodi hawana la kusema. Time will tell. Hakuna kitu kizuri kama muda, si mnakumbuka ule usemi usemao za mwizi arobaini?
 
Tanzania kutawaka moto tu tena sio mbali wananchi wamechoka kuona Chama Cha Majambazi kinavyokula keki ya taifa peke yao tena bila aibu. Kinakuala na wageni huku walipa kodi hawana la kusema. Time will tell. Hakuna kitu kizuri kama muda, si mnakumbuka ule usemi usemao za mwizi arobaini?
.
Labda wa mjini tuu ndio wasoma kulikoni, nilikuwa Mtwara juzijuzi, nikauliza hivi ni gazeti gani linagombewa sana Mtwara, huwezi amini, niliambiwa ni Uhuru!. Kwa Watanzania 80% walioko vijijini, what is Kulikoni?.
 
madhara gani yatalipata gazeti hili iwapo kweli kesho watasambaza nakala za gazeti lao, ambalo binafssi natarajia kulisoma saa 12 hapa Mpwapwa kama mvua zitakua hazijanyesha. ila upo uwezakano wachapaji wameamua kuvimbsha kifua wakimpuuza Waziri na sheria zake kongwe zilizopitwa na wakati, na kama yalivyo matangazo mengine kuna skendo kadhaa za jeshi zimemulikwa , ama kweli ninahamu yakuona nini kinafuata.
 
The whole game is somehow premeditated!! these days tunaona hata hilo gazeti la this day limekaa kama linaomba suluhu kwa serikali!!!!!!!!!!!!!!!

Just another dark sport
 
Tuwe wakweli hapa ndani ya JF wengi wetu ndio watu ambao tuko updated sana na mambo yanayohusu taifa letu. Hata kama watu hawatabahatika kupata copy ya mwisho kabisa ya gazeti la kulikoni hakuta kuwa na madhara yoyote yale katika taifa letu. ni watu wa chache sana ambao ndio wanao bahatika kusoma hilo gazeti la kulikoni.

kwa kifupi mimi kwa upande wangu sioni kama kuna tatizo lolote lile la kuto pata copy ya gazeti la kulikoni.

TANZANIA BILA YA SISIEMU INAWEZEKANA.
 
Yeah gazeti linatoka kesho na moja wapo ya stori zitakuwa featured imechanganyiwa na wenu mtiifu... tunatoka kulalamika; tunatoka kuhamasika; tunaenda kwenye kutenda!
 
.
Labda wa mjini tuu ndio wasoma kulikoni, nilikuwa Mtwara juzijuzi, nikauliza hivi ni gazeti gani linagombewa sana Mtwara, huwezi amini, niliambiwa ni Uhuru!. Kwa Watanzania 80% walioko vijijini, what is Kulikoni?.

Pasco, pls, pls........... Yes it is true kwamba kulikoni is not as that popular, of course hata mijini........... lakini hii ya Uhuru ni exaggeration. Uliuliza ndani yah ofisi ya CCM nini? tena kijijini!!!!!
 
mzee-mwanakijiji-albums-news-worthy-picture839-kulikoni1.jpg


mzee-mwanakijiji-albums-news-worthy-picture840-kulikoni2.jpg
 
Yeah gazeti linatoka kesho na moja wapo ya stori zitakuwa featured imechanganyiwa na wenu mtiifu... tunatoka kulalamika; tunatoka kuhamasika; tunaenda kwenye kutenda!

Halina impact yoyote hilo gazeti kwa nchi na story zake ni very low..take it. hakuna mwandishi wa maana pale.
 
Pale Mwenge sijaliona asubuhi hii. Pale Posta pia sikuliona. Mzee Mengi aboreshe tu NIPASHE. Biashara ya utitiri wa magazeti kwa TZ hailipi. WaTZ hawapendi kusoma wala kujisomea.
 
Pale Mwenge sijaliona asubuhi hii. Pale Posta pia sikuliona. Mzee Mengi aboreshe tu NIPASHE. Biashara ya utitiri wa magazeti kwa TZ hailipi. WaTZ hawapendi kusoma wala kujisomea.
MIMI ninakopi yangu mkononi ya Gazeti la kulikoni, hakuna haja ya Mengi kubaki na gazeti moja la nipashe, kwanza Kulikoni halileti hasara kwa IPP Media, maaana dhana ya soko huria ni kuwa kwasababu hawakulazimishwa kufanya biashara ukiona wanadumu basi wanapata faida ama wana breakeven
 
MIMI ninakopi yangu mkononi ya Gazeti la kulikoni, hakuna haja ya Mengi kubaki na gazeti moja la nipashe, kwanza Kulikoni halileti hasara kwa IPP Media, maaana dhana ya soko huria ni kuwa kwasababu hawakulazimishwa kufanya biashara ukiona wanadumu basi wanapata faida ama wana breakeven
Ahsante, nitalitafuta tena baadaye. Kashuhudie mwenyewe pale ofisini kwao idadi ya magazeti yanayorudishwa hayakununuliwa. Biashara za Mzee Mengi ni nyingi na zinafanya kubebana tu.
 
Back
Top Bottom