hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
hahaaa MC ndio alikuwa anasema hvyo...sasa shughuli siilikuwa nawageni waalikwa au...??hao jamaa sio kosa lao maana wamechukua maneno ya MC wa ile sherehe maana MC alikua anawapamba kweli kweli
maana kama walikuwapo then wakayaskia maneno hayo siaibu hiyo..!!?