Gazeti la Jamhuri: Zitto ANYUKWA, Ndege mpya iliyonunuliwa ikiendelea Kutengenezwa

Zk wa Serikali inunue Richmond, ZK wa Tunaharibu uhusiano wetu na China kwasababu tu, uamuzi wa kukopa pesa Exim Bank of China umebatilishwa!? Leo kadandia issue ya Ndege tena amesahau kwamba alituambi hata hizi bombadier ni used. Siwezi kuwa Na ubongo wenye malyenge katika kutambua hili. Zk ni kibaraka wa madarali wa Biashara kubwa za sina hiyo ya Ndege,Richmond etc, sasa hivi uelewa wa watanzania imekuwa IPO siku atakuja kuaibika Zaidi ya sasa hivi.
 
Jamhuri Nina mawenge nao maswali ya kujiuliza juu yao moja hiyo habari ina gharama kubwa sana tofauti na mauzo yao VP hiyo pesa walipata wapi pili kwann iwe habari ya ndege tu ambayo rais ndiyo kiki yake kila mkutano na isiwe hata ukosefu wa dawa hospital hii sio promo kweli ni mawazo yangu tu ya sitimbi
 
Ninachosikitika awamu hii yaani , hatuna wanasiasa yaani wale wanapinga kwa hoja, siku hizi wengi wao wamekuwa wazushi, waongo, wanatamani serikali ifeli (awamu nyingine mlikuwa mbele kulisaidia taifa), yaani kwa kifupi wamekuwa wapiga ramli.
 
Zk wa Serikali inunue Richmond, ZK wa Tunaharibu uhusiano wetu na China kwasababu tu, uamuzi wa kukopa pesa Exim Bank of China umebatilishwa!? Leo kadandia issue ya Ndege tena amesahau kwamba alituambi hata hizi bombadier ni used. Siwezi kuwa Na ubongo wenye malyenge katika kutambua hili. Zk ni kibaraka wa madarali wa Biashara kubwa za sina hiyo ya Ndege,Richmond etc, sasa hivi uelewa wa watanzania imekuwa IPO siku atakuja kuaibika Zaidi ya sasa hivi.
Umesahau alishauri tununue mitambo ya Richmond au tutaifishe wakamzodoa kwamba serikali hainunui used.
Unajua leo tunaikodisha kwa sh. ngapi mitambo ile ile iliyopewa jina lingine? Usikivu ni mzuri hata kwa yule unayedhani si mwema kwako kwani katika asemayo mengi kuna mambo ambayo yatakufaa. Hata saa mbovu wanasema kuna wakati inasoma majira sahihi!
Hivyo ondoa label yako kwa Zitto!
 
Sawa mkuu mimi sijiwezi wewe unaweza na unawezwa.

Mnatetea upumbavu hadi kwenye misiba hayo ndiyo maendeleo kwenu.
Kipi kimetetewa msibani zaidi ya mamburukenge na genge lao kuleta siasa msibani wewe ukiwa mmoja wapo?
Inaonekana you eat, sleep and breathe siasa, hamna mengine!
 
Mnashabikia vindenge
Wengine watakufa bila Hata ya kupanda wakati uku tunalia na maji
Mwanza kuna sehemu wanatumia visima tena vya chumvi na vyenyewe sio vya huakika vinakauka
Bukoba hasa Mleba kusini na kaskazin wanatumia maji ya MTO mpaka karne hii licha ya kuzungukwa na ziwa
Kipaumbele cha nchi kwa watu wake huwa sielewi
Km maji tangekuwepo watu wamesambaziwa kusingekuwepo na njaa watu wa wangemwagilia wakala
Et ndege fyokoooo zao!!
 
Yaani nchi yetu ina kazi. Nikiri kwamba sijaisoma story ya gazeti la Jamhuri. Lakini kama responses zinazotolewa na wenzangu hapa zinazingatia tu picha iliyowekwa hapo juu, basi tuna kazi - what happened to critical thinking? Zitto alionesha misingi ya hoja yake. Na hoja yake itabatilishwa kwa kubatilisha misingi (premises) hiyo, si kwa kuleta a random picture of a plane under construction (hata kama kinachofanyika ni minor adjustments & painting/branding). Kwa vyovyote vile, kama hujui chochote kuhusu jambo flani, na ukaulizwa uchague kati ya Zitto na Gazeti la Jamhuri (yaani Manyerere Jackton) unamwamini nani kama chanzo cha taarifa kuhusu jambo hilo, kumchagua Manyerere is insanity. Si lazima kwamba Zitto yuko sahihi, lakini argument yake ni complete - logical flow from premises to conclusion. Je Manyerere ametoa hoja za kuonesha mapungufu katika misingi ya hoja ya Zitto? I am operating under the following assumptions: (1) Zitto amekuwa "tipped off" kwamba kuna udanganyifu kwenye huo mkataba (2) Manyerere amelipwa pesa ili kuacha kazi yake kama journalist na kufanya kazi ya public relations (kuisifu serikali iliyoko madarakani sasa). Wenye busara walisema: "Journalism is printing what someone else does not want printed: everything else is public relations".
 
Picha? Nani mwenye ushhidi kuwa ndo yenyewe? Alf c tuliambiwa kila kitu tyr bado injini tu?, HONGERENI wtanznia wanaoamimini kila kila wambiwacho...
 
Kabla hujasoma gazeti ni vzr tuwe tunajiuliza gazeti mmiliki wake ni nani! jamhuri ni gazeti la propaganda la watu wa 'magogoni' take care.
 
Back
Top Bottom