Gazeti la Jambo leo, linamilikiwa na kijana Mtanzania, Juma Pinto, ni mwandishi wa habari wa zamani wa gazeti la Majira, baadaye akaenda kuishi nchini Uingerezxa kwa miaka kadhaa, akapata mtaji wa kutosha, ndipo mwaka juzi akaamua kurudi Tanzania na kuanzisha gazeti hilo la Jambo Leo.
Linamilikiwa na Ridhiwani KIkwete!!