Gazeti la HOJA linamilikiwa na nani?

KALABASH

JF-Expert Member
Jan 26, 2011
493
206
Tafadhalini wana Jf nijulisheni wamiliki na wahariri wa gazeti la HOJA. Nikitizama kwenye ukurasa wenye Editorial naona simu tu bila majina. Ukurasa wa mwisho kabisa kunaonekana Gamanent Publications Ltd wakiwa ndiyo watoaji wa gazeti tajwa. Najaribu kuleta mada hapa jf baadae lakini itakamilika vilivyo kama nitawafahamu wamiliki na wahariri wake.
 
Gazeti la HOJA kwa kweli ni la kimbuzi sana

Sijui linamilikiwa na majuha gani na kivipi wanajiendesha

Hivi Mhariri wake ana elimu gani jamani?
Waandishi wake wana ujinga wa hali ya juu.
 
Gazeti la HOJA kwa kweli ni la kimbuzi sana

Sijui linamilikiwa na majuha gani na kivipi wanajiendesha

Hivi Mhariri wake ana elimu gani jamani?
Waandishi wake wana ujinga wa hali ya juu.

Dada yangu Merytina,unakuwa kama hujui kwamba sasa hivi uandishi wa habari kikanjanja ndiyo mtoko wa maisha?ninayo kopi ya gazeti hili,nimepata wenge.Tena linathubutu kujiita jina kubwa kubwa,ati gazeti la HOJA...sawa tu na chama cha mapinduzi chenye jina kubwa la 'kimapinduzi" lakini kinatenda kinyume na jina lake,jina lake halisadifu vitendo wala dhamira.Kuna vigazeti vya udaku wa siasa vimeibuka,bora vingechapishwa na kampuni za magazeti pendwa.

Huwa hatutoi negative incentives kwa waliofeli but tunatoa positive incentives kwa waliofaulu au waliofanya vizuri.Gazeti la Raia Mwema ni miongoni mwa magazeti machache sana yaliyo salama,The citizen andeleeni kuandika analytical stories.Kuna magazeti ambayo yamejipambanua ya kiuanaharakati kumbe ni magazeti ya vyama,na mengine yako too low ni ya kambi fulani ndani ya vyama vya siasa.Watanzania tuwe macho,kuna kipindi nilimuona Mkapa kama mtu mwenye Dharau na kiburi cha kutisha aliposema ana-prefer kuongea na waandishi wa habari wa kimataifa.Kuna waandishi wengi wazuri lakini wanaharibiwa na wengine
 
hoja ni gazeti la kama alivyosema The Prophet, wahariri wake ninaowafahamu ni malaria sugu na kishongo
 
Hivi popo Lyatonga nae asiwe na kajarida katakako mshiriki??
 
Tafadhalini wana Jf nijulisheni wamiliki na wahariri wa gazeti la HOJA. Nikitizama kwenye ukurasa wenye Editorial naona simu tu bila majina. Ukurasa wa mwisho kabisa kunaonekana Gamanent Publications Ltd wakiwa ndiyo watoaji wa gazeti tajwa. Najaribu kuleta mada hapa jf baadae lakini itakamilika vilivyo kama nitawafahamu wamiliki na wahariri wake.

Zawadi kwa CCM toka Marehemu Mheshimiwa Abbas Gulamali (Mb) Yanga Imara. Lilianzishwa 1992 kwenye multiparty election ya kwanza (Enzi za Mrema kibaraka na Marando mamluluki wa CCM wakati huo na NCCR Akiwepo kibaraka mwingine wa CCM muhimu Prince Bagenda). Lina mwelekeo au lina jukumu la kudhalilisha upinzani kama mojawapo ya media muhimu ya CCM. Nakushauri usilinunue kama ninavyokushauri usinunue gazeti la Uhuru wala usisikilize radi uhuru wala Clouds (Ya Manji) kwa sababu lengo lango la pro CCM ni kichefu chefu kinaweza kukuathiri kutafuta haki yako. Besides wanafadhiiwa na ufisadi.

Ila kwa uchunguzi tu halitolewi regularly mapaka ipikwe story iive. Linazungumzia watu siyo issues. Samahyani mimi ndivyo ninavyolifahamu ila chunguza chukua hatua.
 
Dada yangu Merytina,unakuwa kama hujui kwamba sasa hivi uandishi wa habari kikanjanja ndiyo mtoko wa maisha?ninayo kopi ya gazeti hili,nimepata wenge.Tena linathubutu kujiita jina kubwa kubwa,ati gazeti la HOJA...sawa tu na chama cha mapinduzi chenye jina kubwa la 'kimapinduzi" lakini kinatenda kinyume na jina lake,jina lake halisadifu vitendo wala dhamira.Kuna vigazeti vya udaku wa siasa vimeibuka,bora vingechapishwa na kampuni za magazeti pendwa.

Huwa hatutoi negative incentives kwa waliofeli but tunatoa positive incentives kwa waliofaulu au waliofanya vizuri.Gazeti la Raia Mwema ni miongoni mwa magazeti machache sana yaliyo salama,The citizen andeleeni kuandika analytical stories.Kuna magazeti ambayo yamejipambanua ya kiuanaharakati kumbe ni magazeti ya vyama,na mengine yako too low ni ya kambi fulani ndani ya vyama vya siasa.Watanzania tuwe macho,kuna kipindi nilimuona Mkapa kama mtu mwenye Dharau na kiburi cha kutisha aliposema ana-prefer kuongea na waandishi wa habari wa kimataifa.Kuna waandishi wengi wazuri lakini wanaharibiwa na wengine

Makala nzuri mzee ila ungetusaidia kujibu HOJA ya gazeti la HOJA ni akina nani ingependeza zaidi... Asante kwa maelezo mazuri.
 
Makala nzuri mzee ila ungetusaidia kujibu HOJA ya gazeti la HOJA ni akina nani ingependeza zaidi... Asante kwa maelezo mazuri.
GEOPHYISICS: nashukuru kuwakumbusha wana jf kuwa mpaka sasa hawajanipa mwanga kuhusu nani wahariri na wamliki wa gazeti la HQJA. Mfano: ninafahamu RAI na MTANZANIA yanamilikiwa na RA kwa hiyo inanipa nafasi mimi msomaji kuelewa ni kwa nini wanaandika wanachokiandika. Vivyo hivyo kuwafahamu wamiliki na wahariri wagazeti la HQJA kutanisaidia kupata tafsiri ya kwa nini wanaandika wanachokiandika..
 
Reply With Quote
GEOPHYISICS: nashukuru kuwakumbusha wana jf kuwa mpaka sasa hawajanipa mwanga kuhusu nani wahariri na wamliki wa gazeti la HQJA. Mfano: ninafahamu RAI na MTANZANIA yanamilikiwa na RA kwa hiyo inanipa nafasi mimi msomaji kuelewa ni kwa nini wanaandika wanachokiandika. Vivyo hivyo kuwafahamu wamiliki na wahariri wagazeti la HQJA kutanisaidia kupata tafsiri ya kwa nini wanaandika wanachokiandika..

Gazeti ni la umoja wa vijana wa ccm (uvccm) mhariri wake anaitwa Songoro kwa sasa ni diwani wa kata ya Mwananyamala kwa ticketi ya ccm.
 
Kuna mwandishi wake wa habari mmoja niliwahi kumuuliza (about 3 years ago), akaniambia ni gazeti la UWT chini ya usimamizi wa ule mjengo wa pale Magogoni!
 
Back
Top Bottom