Tafadhalini wana Jf nijulisheni wamiliki na wahariri wa gazeti la HOJA. Nikitizama kwenye ukurasa wenye Editorial naona simu tu bila majina. Ukurasa wa mwisho kabisa kunaonekana Gamanent Publications Ltd wakiwa ndiyo watoaji wa gazeti tajwa. Najaribu kuleta mada hapa jf baadae lakini itakamilika vilivyo kama nitawafahamu wamiliki na wahariri wake.