Na hata akirogwa mtu akalifungua serikali haitomruhusu. Hao ni walewale kina Musiba wa awamu hii ya Chief "na hilo suala naomba mkaliangalie"Nawe unaamini kabisa kama Wamachinga wanaweza wakaanzisha Gazeti?
Itajulikana tuu kama ni gazeti la mkakati kama yale mengjne.. Na pengine ndio litachukua nafasi ya gazeti la UhuruNimeshangaa leo nimeona Gazeti linaitwa "Gazeti la Wamachinga" sijui limeanzishwa lini na mmliki ni nani! Wajuzi mtujuze.
Sauti ya Wanyonge.View attachment 2036941
Million kumi nyingiHivi kuanzisha Gazeti inahitaji mtaji kiasi gani?
La mkakati tu kama yale ya kina musiba ndugu.Itajulikana tuu kama ni gazeti la mkakati kama yale mengjne.. Na pengine ndio litachukua nafasi ya gazeti la Uhuru
Mkuu, kila zama na enzi zake. Sijakosea naimani umenielewa. Kulikuaga na Jambo leo sijui nimelikosea Jina mtanisahihisha jina,Tanzanite na sasa Wamachinga.Nimeshangaa leo nimeona Gazeti linaitwa "Gazeti la Wamachinga" sijui limeanzishwa lini na mmliki ni nani! Wajuzi mtujuze.
Sauti ya Wanyonge.View attachment 2036941
Issue sio mtaji issue nikukubaliwa kufunguaHivi kuanzisha Gazeti inahitaji mtaji kiasi gani?