Gazeti la Tanzania Daima lamuomba radhi Mh. James Mbatia

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,867
141,797
Gazeti la Tanzania Daima limemuomba radhi mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro Mh. James Mbatia kwa kumuandika ndivyo sivyo.

Mhariri wa gazeti hilo ameomba radhi katika ukurasa wa mbele wa toleo la leo la Tanzania Daima.

1585902709970.png

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom