johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,395
- 138,574
Gazeti la Tanzania Daima limemuomba radhi mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro Mh. James Mbatia kwa kumuandika ndivyo sivyo.
Mhariri wa gazeti hilo ameomba radhi katika ukurasa wa mbele wa toleo la leo la Tanzania Daima.
Maendeleo hayana vyama!
Mhariri wa gazeti hilo ameomba radhi katika ukurasa wa mbele wa toleo la leo la Tanzania Daima.
Maendeleo hayana vyama!