Gazeti la An-Nuur na Kuchochea Ugaidi

Status
Not open for further replies.
Mkuu wangu wala sintachoka kukufahamisha.. Kuran haihusiani kabisa na elimu dunia, tunazungumzia vitu viwili tofauti.. Kuran ni elimu ya kiroho haihusiani na Mataifa ya Wachina, wahindi au waafrika kwa hiyo unapochanganya vitu jaribu kuchuja pia.
Sijui una-tackle hoja ipi. Hoja yangu ni kwamba Waarabu hawakuanzisha elimu maana kila jamii (wakiwepo waarabu) tangia kale wameshiriki kwa namna moja au nyingine kwene uvumbuzi na maarifa, hivyo kuwapa sole credit waarabu kama waanzilishi wa elimu ni kichekesho. Sijui kama unanisoma. Nachelea kutopotezeana muda kwene jambo lililo dhahiri.
 
Elimu ilianza kabla ya madrasa baba..najua kwa sababu ya dini yako uliorithishwa lazma utafanya ya muwamba ngoma.. Ukifuatilia historia ya formal education huezi ukatoa conclusion fyongo kwamba elimu ilianzia Uarabuni..it is either unatawaliwa na prejudices, ignorance au ARabic culture overzealotry.

Nyongeza tu Mkuu wangu,tuwe makini na matumizi ya neno Uarabuni etc,sababu walipo waarabu sio lazima pawe palikuwa panakaliwa na waarabu enzi za dunia ya zamani.
 
Mkuu wangu tunabishana kitu gani hapa... wewe msomi unaelewa vizuri kuhusu elimu iliyokuwa ikitolewa enzi za Mesopotamia (what is now Iraq, Syria,Turkey and Iran) Na mataifa kama Uingereza na Ulaya, haya ni mataifa mapya na huwezi kulinganisha kabisa na nchi za Asia ktk misingi tunayozungumzia hapa..Dini zote zimeikuta elimu dunia na wale waliotutangulia kusoma sote hawakuwa Waislaam wala wakristu bali waarabu na lazima tukubali kwamba walileta elimu dunia.

Kifupi ni hivi, wengi wenu mnaipima elimu kwa ngazi zake nikiwa na maana kama baba yako alisoma hadi darasa la nne na wewe umefika Univerisy haina maana aliyeanza kusoma ni wewe bali ni baba yako aliyefika darasa la nne. Hii ndiyo maana yangu au niseme argument yangu. Pengine hata sisi wazazi wetu wa Kiafrika walikuwa na elimu zao, maandishi yao na kadhalika lakini maadam hatuna uthibitisho ni lazima tukubaliane na ushuhuda uliopo na ktk kufanya hivyo ndivyo tunavyoweza kuendelea mbele. Hivi kwani ukikubali mwarabu ndiye aliyeanzisha elimu dunia wewe utakuwa umepungukiwa kitu gani?

nimeipenda,ngoja nirejee wanafalsafa wa kale kama kweli ni waarabu...KAMA UNANIFUNGA KAMBA ? Mmmh,kwa mtazamo wa kawaida haiji kuwa zamani wawe machampion wa elimu leo wawe mabingwa wa kukariri,cross breed ya wapi iliwaondolea uchampion wao bro?
 
Nachelea kupotezeana muda hapa maana unaogelea kwene bahari usiojua kina chake. Nachoweza kusema ni kwamba huezi kutoa bold conclusion kwamba elimu ilianza mahali flani, maana ukisema hivyo manake sehemu nyingine za dunia walikuwa wanaishije? Elimu ni nini? Elimu ni skills za kurahisisha maisha..this is commonsense 101.
Abdulhalim, kwenye hili la elimu imeanzia wapi naomba nikupige darsa kidogo la historia. Hakuna ubishi juu ya Mungu kumuumba Adam, mpaka kizazi za Ibrahim aliyemzaa Ismaili (Ishamel) ndoa kwa kuzaa na kijakazi wa mkewe Sarah aliyeitwa Hagai. Ismaili ndie baba wa Waislamu wote. Ibrahim akapata mtoto kwa mkewe Sarah na kumwita Isaka, (Ishaq) ambae ndiye baba wa Wakirtu wote. Tangu uumbwaji wa dunia hii yote hayo yalifanyika eneo la Mashariki ya Kati, bara Arab yaani Uarabuni na ndiko chimbuko la Elimu hii ya wazungu. Hata hizi namba za moja mbili tatu ni number za kiarabu. Hizi alphabeti za abcd nazo pia ni aphabeti za kiarabu.

Baada ya elimu hii ya Arabuni ndipo zikafuatia elimu za Wayunani na dola ya kale ya Rumi ambako wao walikuja na namba zao za kirumi, lugha ya kilatini lakini walitumia alphabeti za waarabu.

Elimu nyingine ni ile ya Eastern Sciences za Mashariki ya Mbali huko Uchina na Tibet ambako nao wana herufi zao, number zao na miungu yao ambao hawataatifa za Mungu muumba wa Adam wala Ukiristo au Uislamu.

Hata Yesu baada ya kuzaliwa Bethlehemu alikulia Misri na alirejea Israel akiwa na miaka 12 na baada ya hapo aliishi Misri miaka 21 na kurejea Israel akiwa na miaka 33.
Maandiko ya Yesu aliishije huko Misri yanezuiliwa kwenye zile dead sea scroll ili kuondoa utata kuhusu UMungu wake.

Maktaba ya kale kabisa duniani iko Alexandria huko Misri. Teknolojia ya ujenzi wa pyramids ni ya kale ambayo mpaka leo wazungu hawajaweza kugundua mipande ile mikubwa ya mawe ilitoka wapi, ilisafirishwa vipi na ilikatwa vipi huko juu ya mapiramidi ilipandishwa vipi. Huu ni uthibitisho elimu ilianzia Arabuni, ustaarabu ulianzia Arabuni ila pia Sodoma na Gomora pia ilianzia Arabuni hivyo no wonder kwa nini vitendo vya kosodoma vineshika kasi sana maeneo ya Waarabu.
 
Annur imeshafanya kazi kubwa kuwaamsha waislamu na kujitambua..hakuna muislam Tanzania kwa sasa hajui kwamba jumuia za kikristo na hila zao kwa waislamu....<br />
<br />
Kilichobaki ni mkakati wa kudai haki hizo kwa vitendo elimu iko tayari kabisa...hakuna anayedanganywa hapo...
<br />
<br />
BAKWATA imetushinda kuifanyia reform,restructuring ili kiwe chombo chenye tija kwa waislam,sasa wewe wafikiri maandamano yatasaidia?wakristo hawaandamani wanapata chochote toka serikali ya ccm kwa kuwa wameomba na wanasonga,sisi waislam miaka nenda rudi maandamano hatusongi mbele!baada ya kauli ya jk bakwata wamesema chochote?
 
Hata ukijipendekeza na kuwaelewasha vipi hao ni makondoo hawatakuelewa wala hawatakupenda period..kuna mtu anayejipendekeza kwa makristo kama JK lakini ameishia kutukanwa..<br />
<br />
Lugha moja tu wanaelewa ...jino kwa jino wanaogopa vita kama wanawake
<br />
<br />
mbona na wewe huogopa sana maandamano et kwa sababu ya kile kinachoitwa ni uvunjifu wa amani, je na ww ni mwanamke?
 
Ha ha ha! ukishajua inakusaidia nini?<br />
<br />
Kuna ukatili kuliko kumpiga mwanamke mkuu wa wilaya? <br />
<br />
Kichwa chako ndicho chenye matatizo..unashindwa kuelewa kuwa haki na dhuluma haziwezi kuondolewa bila vita..kwa masheikh wanatakiwa wapongezwe na wafanya jitahada kuandaa huo mkakati
<br />
<br / Nilisema nyie ni watu wa vinyongo sana na wewe umedhihirisha hilo,nani kakwambia njia pekee ya kuondoa dhuluma ni vita? Kwanza hiyo dhuluma mnafanyiwa na nani? Na hiyo vita mnataka mpigane na nani? nyie subirini tu mtakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe.
 
Abdulhalim, kwenye hili la elimu imeanzia wapi naomba nikupige darsa kidogo la historia. Hakuna ubishi juu ya Mungu kumuumba Adam, mpaka kizazi za Ibrahim aliyemzaa Ismaili (Ishamel) ndoa kwa kizaa na kijakazi wa mkewe Sarah aliyeitwa Hagai. Ismaili ndie baba wa Waislamu wote. Ibrahim akapata mtoto kwa mkewe Sarah na kumwita Isaka, (Ishaq) ambae ndiye baba wa Wakirtu wote. Tangu uumbwaji wa dunia hii yote hayo yalifanyika eneo la Mashariki ya Kati, bara Arab yaani Uarabuni na ndiko chimbuko la Elimu hii ya wazungu. Hata hizi namba za moja mbili tatu ni number za kiarabu. Hizi alphabeti za abcd nazo pia ni aphabeti za kiarabu.

Baada ya elimu hii ya Arabuni ndipo zikafuatia elimu za Wayunani na dola ya kale ya Rumi ambako wao walikuja na namba zao za kirumi, lugha ya kilatini lakini walitumia alphabeti za waarabu.

Elimu nyingine ni ile ya Eastern Sciences za Mashariki ya Mbali huko Uchina na Tibet ambako nao wana herufi zao, number zao na miungu yao ambao hawataatifa za Mungu muumba wa Adam wala Ukiristo au Uislamu.

Hata Yesu baada ya kuzaliwa Bethlehemu alikulia Misri na alirejea Israel akiwa na miaka 12 na baada ya hapo aliishi Misri miaka 21 na kurejea Israel akiwa na miaka 33.
Maandiko ya Yesu aliishije huko Misri yanezuiliwa kwenye zile dead sea scroll ili kuondoa utata kuhusu UMungu wake.

Maktaba ya kale kabisa duniani iko Alexandria huko Misri. Teknolojia ya ujenzi wa pyramids ni ya kale ambayo mpaka leo wazungu hawajaweza kugundua mipande ile mikubwa ya mawe ilitoka wapi, ilisafirishwa vipi na ilikatwa vipi huko juu ya mapiramidi ilipandishwa vipi. Huu ni uthibitisho elimu ilianzia Arabuni, ustaarabu ulianzia Arabuni ila pia Sodoma na Gomora pia ilianzia Arabuni hivyo no wonder kwa nini vitendo vya kosodoma vineshika kasi sana maeneo ya Waarabu.
Naheshimu mchango wako, lakini naona umejaa fantastic myths zaidi kuliko historical facts. Kwanza walojenga mapyramids sio waarabu. Pili stori ya Adam na Hawa inaishi hewani tu na haina mashiko yoyote, do u want to sink into the level kwamba binadamu juu ya dunia ameishi miaka 6000 tu? Ushahidi wa kisayansi unaonesha kinyume. Rejea libary, jipange upya uje kivingine. Asante lakini.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt; &lt;br /&gt;<br />
Mzee ukikosea ukubali imani ni metaphysics kisayansi huwezi kuthibtisha kuwepo au kutowepo Mungu. Hapo maana yake ni nini usije ukafikiri unachoamini wewe ndo sahihi kwa sababu kisayansi huwezi kuthibtisha. Hivyo basi kuthibtisha kwamba huyo Mungu au Allah unayemuamini ndiye mungu na Yesu siyo Mungu.
hata kama huwezi kuprove kisayansi, lakini kunatofauti kubwa kati ya mungu wa wakritu(yesu) na mungu wa waislaam, mungu maana yake ni nguvu inayoweza isyowezwa, mungu hakuzaa wala hakuzaliwa, na wala hajafanana na kitu chochote, pia yu hai milele, hali, hanywi, na wala hana sifa yoyote ya udhaifu wa kibinadamu pia hawezi kuonekana kwa macho ya kawaida. ukiangalia sifa hizi yesu mungo wa kristo hana, kwanza alizaliwa na binadamu, pia alikuwa anakula, kunywa, kunya halafu alikuwa na udhaifu wa kibinadamu kama vile kuhisi njaa, na kuhamaki alishindwa na nguvu za kibinadamu pale alipokubali kufa kwa kipigo kama bibilia invyosema lakini kubwa zaidi alitomaswatomaswa na kahaba hata akamsifu na kujisikia raha. kwa kweli wakristo mmesoma lakini kitendo cha kuamini binadamu ni mungu hamna tofauti na wanoamini ngo'mbe ni mungu eti kwa sababu tu anatoa maziwa. sitasha nikisikia siku moja mnaamini kuwa mavi ni mungu kwa sababu huwa yanavadilika rngi kulingana na msosi!
 
Mkandara mimi niko interested kujua ni lini umefanya transformation hii ya kutambua kuwa approximately 95% ya wafuasi wa chadema wanakishabikia Chama chao kwa mtazamo kwamba kinauwakilisha ukristo. maana nakumbuka ulipigana vikali kukanusha huu ukweli ukitanabaisha kuwa ni propaganda. Binafsi nilikuona mtu wa ajabu sana maana nilikuwa nao ushahidi wa kuona kwa macho yangu kilichokuwa kinaendelea kule mkoani kwetu tena ambako idadi yao haizidi hata 15%. Chanzo kilikuwa ule walaka wa maaskofu na kwa makusudi kabisa Rais alipojaribu kulikemea wakamgeuzia kibao ukiwemo na wewe kuwa eti ni mdini.

anyway kwa kuwa muda wote wewe unakuwa wa mwisho kuelewa aidha kwa makusudi au kiukweli basi mimi nakupa tena muda wa hii miaka 4, utakachokiona 2015 kama CCM wakisimamisha mkristo utakuja kutuambia. Hakuna mwenye maslahi na nchi kati yao bali wanamaslahi na ukristo tu tena dhidi ya waislam na uislam. Lakini pia kuhusu elimu hilo ndiyo usiseme hawa jamaa ni vilaza mno na kwa taarifa yako elimu yao haiwasaidii hata kidogo kumake life nje ya ajira rasmi za serikali na alikes zake na ndiyo maana wanang'ang'ania favour hii iliyopo wanataka hali hii iendelee hawaoni tatizo.

Kwa ufupi uwepo wao hapa Tanzania ndiyo umesababisha huu umasikini katika nchi hii. Hawa watu ni wezi ajabu wanahamisha serikalini na kupeleka makanisani. Ninao mfano kuna rafiki yangu aliniambia eti katika kanisa lao waumini wote wanatakiwa kuwasilisha asilimia 30% ya mishahara yao kila mwezi. Hebu fikiria kwa mishahara ya Tanzania hawa watu wanaishije kama siyo wizi. Hakika ni wezi hawa na ni wahujumu wa hii nchi.
Mkuu wangu nimekuwa hapa JF kabla yako wewe na wengine wengi sana. Na kuibuka kwa Chadema nimekuwa nikifuatia sana uhalisia wa chama hiki kwa imani ya kiitikadi zaidi ya dini ama Uzawa tofauti na wengi hapa JF wanavyokitazama chama hiki.. Lakini sasa hivi chama hiki kimeingiliwa na watu ambao wamejiunga kwa ushabiki wa Kidini na huwezi kuweka ushahidi wa manazi kuvaa jezi zao ktk maandishi. Mimi nimechagia sana kuwa mwanachama mzuri wa Chadema, chama ambacho kimesingiziwa mengi ya Ukabila la Udini lakini kama Waswahili wasemavyo - Uongo ukizungumzwa sana hugeuka kuwa Ukweli.. Na hakika wapo Wakristu wengi wanashabikia Chadema kwa sababu ya Ukristu wao kama ilivyotokea kwa CUF. Mtapinga na kukataa lakini hamuwezi kuukimbia ukweli unaojitokea kwani huo uongo umeanza kupata ukweli na washabiki..

Mimi huzungumza ukweli na unafiki kwangu ni mwiko kwa sababu nawatazama CUF kama chama cha Waislaam na Wazanzibar hata kama CCM haikusema hivyo. Huu ndio ukweli unaotanguliwa na mawazo yao, propaganda za wanachama wa CUF hazijifichi ingawa chama chenyewe hakina dini na hawa watu na mawazo yao ndio sababu kubwa ilonifanya nisijiunge na CUF mwanzo. Na wao wanaweza kabisa kuniuliza maswali kama yako na haitakuwa rahisi kwangu kuwajibu kwa sababu hisia zao zinajieleza kupitia mgongo wa chama hivyo ni watu binafsi na sii matashi ya chama. Imetokea vipi wanachama wa CUF kuwa Waislaam na Wazanzibar zaidi hili sii swali la kuniuliza mimi bali wao wenyewe CUF ndio wa kujiuliza na pengine kujipenyeza zaidi sehemu nyingine. Lakini siwezi kuzungumza hapa kwa niaba yao kwa sababu wameshindwa kuona mapungufu yao wenyewe. I'm just an observer!

Nimewasoma sana wanaChadema hapa JF na wengi nawajua kwa majina yao bandia kiasi kwamba hizi propaganda wanazoziweka hapa zinaniweka nje ya imani yangu kwa chama hiki. Hawa ni wenzangu tunapozungumzia maswala ya kitaifa lakini wepesi sana kuzungumzia Uislaam ili hali wao tunakula sahani moja..Yawezekana coincidentally Wanachadema wengi wametokea kuwa Wakristu kama ilivyokuwa kwa CUF kuwa Waislaam na Wazanzibarir lakini kila yanapotokea maswala ya dini na Uzawa wa Tanganyika au Zanzibar utawaona wakiwa na wmawazo tofauti na watu wengine wenye mtazamo tofauti..

Kuhusu walaka wa maaskofu nimeshasema, dini hazitakiwi kuingilia maswala la Kiutawala na nitaendelea kupinga hilo lakini nadhani nimeshakwambia ya kwamba gazeti la Alnuur sii taasisi wala gazeti la Waislaam. Wewe ukianzisha gazeti la Kikristu na kuzungumzia lolote lile sintokupinga maadam ni haki yako ya msingi. Halafu basi swala lenyewe ni wauza unga inakuwaje wewe ushindwe kuelewa rais anapokanya vitu hivi kwenye mikutano ya kanisa! Halafu madai yenyewe ni kwamba rais awataje majina ya wauza unga ili iweje? kwa nini kanisa lisimtake rais awawajibishe wahusika!..zaidi ya hapo mnashindwa kuelewa kwamba viongozi wa kanisa wana kinga kulitahadharisha ni bora zaidi..Lakini mkalifanya swala hili la Waislaam against Wakristu na hakika hukumsikia Muislaam au sheikh akidakia au kuomba rais awawajibishe viongozi hao wa dini. Ingekuwa upande huu sidhani kama tungekuwa na amani.

Kuhusiana na CCM, mkuu wangu mimi siku zote nitawapiga vita awepo rais Mkristu au Muislaam ninachokitazama ni sera za chama kupambana na Ufisadi na nadhani ndilo kuu lililonivutia na Chadema kwa sababu naamini kabisa pasipo kuziba mirija nguvu na jitihada zote za kuweka misingi ya kitaifa na uzalishaji haiwezi kufanikiwa. sivutiwi na chama kwa sababu kiongozi ni dini gani ila nyie mnaotarajia kuona rais Mkristu ndio mtapata wakati mgumu sana ikitokea vinginevyo..Na pengine Mtakihama chama cha Chadema na kurudi CCM kwa sababu rais ni mkristu. Na nitaendelea kukiunga mkono pamoja na kwamba kiitikadi sikubaliani na mrengo wa kati kushoto.

Mwisho wa yote haya Tnaznia yetu inazama kama meli ya Spice Island na kila Mtanzania anafikiria kivyake. Wapo wanaosema Wapemba, Wazanzibar wamekufa, wapo wanaoona Uzembe ni wa Zanzibar sii bara lakini mimi nasema uzembe ni wa serikali ya Jamhuri ya Muungano pamoja na wale wote wenye kupoteza ethic na moral values zilizoliunda taifa letu kuwitwa TANZANIA. Na hakika Nchi yetu Inazama kama meli ya Spice ambayo kuanzia saa sita Usiku walikuwa na tatizo, wakalipuuza wakati meli inaingiza maji na kuzama taratibu..Msaada tutani umefika too late asubuhi saa 12 baada ya meli kuzama na watu wasiopungua 2,000.
 
hata kama huwezi kuprove kisayansi, lakini kunatofauti kubwa kati ya mungu wa wakritu(yesu) na mungu wa waislaam, mungu maana yake ni nguvu inayoweza isyowezwa, mungu hakuzaa wala hakuzaliwa, na wala hajafanana na kitu chochote, pia yu hai milele, hali, hanywi, na wala hana sifa yoyote ya udhaifu wa kibinadamu pia hawezi kuonekana kwa macho ya kawaida. ukiangalia sifa hizi yesu mungo wa kristo hana, kwanza alizaliwa na binadamu, pia alikuwa anakula, kunywa, kunya halafu alikuwa na udhaifu wa kibinadamu kama vile kuhisi njaa, na kuhamaki alishindwa na nguvu za kibinadamu pale alipokubali kufa kwa kipigo kama bibilia invyosema lakini kubwa zaidi alitomaswatomaswa na kahaba hata akamsifu na kujisikia raha. kwa kweli wakristo mmesoma lakini kitendo cha kuamini binadamu ni mungu hamna tofauti na wanoamini ngo'mbe ni mungu eti kwa sababu tu anatoa maziwa. sitasha nikisikia siku moja mnaamini kuwa mavi ni mungu kwa sababu huwa yanavadilika rngi kulingana na msosi!

Vipi kuamini allah ni mungu na mtume wa mungu?Hakika mungu wenu-allah ni dhaifu sana kiasi kwamba viumbe vyake "majini" alivyoviumba kwa moto vinaliogopa jina la Yesu ambaye wewe kwa kutokuwa na akili unasema ni mwanadamu!Njoo na majini yako kanisani uone kama yatakuruhusu hata kuingia!
 
Abdulhalim, kwenye hili la elimu imeanzia wapi naomba nikupige darsa kidogo la historia. Hakuna ubishi juu ya Mungu kumuumba Adam, mpaka kizazi za Ibrahim aliyemzaa Ismaili (Ishamel) ambae ni wa ndoa kwa kizaa na kijakazi wa mkewe Sarah aliyeitwa Hagai. Ismaili ndie baba wa Waislamu wote. Ibrahim akapata mtoto kwa mkewe Sarah na kumwita Isaka, (Ishaq) ambae ndiye baba wa Wakirtu wote. Tangu uumbwaji wa dunia hii yote hayo yalifanyika eneo la Mashariki ya Kati, bara Arab yaani Uarabuni na ndiko chimbuko la Elimu hii ya wazungu. Hata hizi namba za moja mbili tatu ni number za kiarabu. Hizi alphabeti za abcd nazo pia ni aphabeti za kiarabu.

Baada ya elimu hii ya Arabuni ndipo zikafuatia elimu za Wayunani na dola ya kale ya Rumi ambako wao walikuja na namba zao za kirumi, lugha ya kilatini lakini walitumia alphabeti za waarabu.

Elimu nyingine ni ile ya Eastern Sciences za Mashariki ya Mbali huko Uchina na Tibet ambako nao wana herufi zao, number zao na miungu yao ambao hawataatifa za Mungu muumba wa Adam wala Ukiristo au Uislamu.

Hata Yesu baada ya kuzaliwa Bethlehemu alikulia Misri na alirejea Israel akiwa na miaka 12 na baada ya hapo aliishi Misri miaka 21 na kurejea Israel akiwa na miaka 33.
Maandiko ya Yesu aliishije huko Misri yanezuiliwa kwenye zile dead sea scroll ili kuondoa utata kuhusu UMungu wake.

Maktaba ya kale kabisa duniani iko Alexandria huko Misri. Teknolojia ya ujenzi wa pyramids ni ya kale ambayo mpaka leo wazungu hawajaweza kugundua mipande ile mikubwa ya mawe ilitoka wapi, ilisafirishwa vipi na ilikatwa vipi huko juu ya mapiramidi ilipandishwa vipi. Huu ni uthibitisho elimu ilianzia Arabuni, ustaarabu ulianzia Arabuni ila pia Sodoma na Gomora pia ilianzia Arabuni hivyo no wonder kwa nini vitendo vya kosodoma vineshika kasi sana maeneo ya Waarabu.
Pasco katika hilo naomba pia nikupige darasa.. Hagai hakuwa kijakazi kama mnavyofundishwa. Hagai alikuwa mtoto wa kike wa Pharaoh ambaye alimpa Ibrahim kama mistress baada ya yeye Pharaoh kungudua kwamba Sarah alikuwa mkewe Ibrahim.. (mwanzo Pharaoh alimtaka Sarah kimapenzi).. Na ktk mila na desturi zote za wayahudi/waarabu - Ibrahim alifunga ndoa na Hagai baada ya kupata ruksa ya Sarah ambaye kwa uhakika alikuwa sii tu mke wa Ibrahim bali alikuwa pia dada yake wa kuzaliwa na baba mmoja.. Sasa kama kuna haramu ipi kubwa mtu kumwoa na kuzaa na dada yake au kuoa kijakazi na kuzaa naye? Harafu hii ya Hagai kuwa kijakazi na mwanamke haramu unaipata ktk Biblia, kweli hii sii propaganda dhidi ya waarabu na Uislaam?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom