Nimepitia magazeti yote lakini nimeshangazwa na habari zilizopo kwenye gazeti hili leo 03 Nov 2016 kama zina ukweli wowote! Mwenye taarifa kamili atujuze; wasiwe wanatuchafulia mzee wetu bure; watu naimani zetu! Nimechoka kusikia Habari za kusemwa mzee wetu, mara mzee Wa upako amimina risasi hewani, mara mzee yule kafanya hivi; jamani huyu mzee muacheni atuhudumie waumini wake Tunaimani naye; kwenu kama anaonekana mbaya; lakini kwetu huyu mzee ni maraika; Mbali na neno tunajifunza sana ushauri wake. Muacheni atuhudumie!
WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA
WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA