johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Siasa za Tanzania huenda zinafuatiliwa sana na wakenya kwani sasa ile hoja ya Mh Nkamia nao wameichukua.
Gavana wa Nairobi mh Sonko ametaka Katiba ya Kenya ifanyiwe marekebisho ili kumpa fursa Rais Uhuru Kenyatta kubakia madarakani kwa muhula wa tatu.
Source Citizen tv
Maendeleo hayana vyama!
Gavana wa Nairobi mh Sonko ametaka Katiba ya Kenya ifanyiwe marekebisho ili kumpa fursa Rais Uhuru Kenyatta kubakia madarakani kwa muhula wa tatu.
Source Citizen tv
Maendeleo hayana vyama!