Gavana wa BoT, Benno Ndulu: Watanzania wanatakiwa kuwa makini na hatari inayoambatana na fedha za kidigitali

maliselo22

Member
May 18, 2017
72
52
GAVANA MKUU WA BENK YA TANZANIA AMEFAHAMU KUA BITCOIN INAENDELEA KUKUA HAPA NCHINI
Gavana wa bot bwana benno ndulu ameweza kuzungumza na gazeti la THE GUARDIAN, nakusema kua watanzania wanatakiwa kua makini na risk ambayo inaambatana na fedha za kidigitali


"Tunazifahamu cryptocurrency hivyo sisi kama serikali ni hyena tujifunze kwanza " maneno ya Ndulu.Kutokana na maelezo ambayo bwana ndulu ameweza kuyatoa katika gazeti la guardian, Ndulu ameweza kusema kwamba BoT hawana uhakika sana kwamba wataweza kukabiri cryptocurrency.

"Unajua kwa sasa tunajaribu kulifanyia kazi swala hili ,ilituweze kuona kwamba kama tutaweza kuripa ruksa swala hili au kulizuia.Bado tunaendelea kujifunza na kuwa karibu sana na swala hili kabla ya kufanya maamuzi yoyote.

BENNO NDULU;MTANZANIA AMBAYE YUKO TAYARI KUJIWEKA KATIKA RISKI
Amesema ingawa ,ndulu ameweza kuelezea kwamba raia wa kitanzania wanapaswa kupewa tahadhari ,kwamba kufanya kazi na cryptocurrency ni sawa na kujiweka wewe mwenye katika riski.Hivyo ni ruksa kufanya ila ni kwa mapenzi yako na riski ya mtu mwenyewe.

#thegrandpow
22368706_1544150708965207_510632961_o-560x420.jpg
ndulu249-696x261.jpg
jjutt66544-300x300.jpg
 
GAVANA MKUU WA BENK YA TANZANIA AMEFAHAMU KUA BITCOIN INAENDELEA KUKUA HAPA NCHINI
Gavana wa bot bwana benno ndulu ameweza kuzungumza na gazeti la THE GUARDIAN, nakusema kua watanzania wanatakiwa kua makini na risk ambayo inaambatana na fedha za kidigitali


"Tunazifahamu cryptocurrency hivyo sisi kama serikali ni hyena tujifunze kwanza " maneno ya Ndulu.Kutokana na maelezo ambayo bwana ndulu ameweza kuyatoa katika gazeti la guardian, Ndulu ameweza kusema kwamba BoT hawana uhakika sana kwamba wataweza kukabiri cryptocurrency.

"Unajua kwa sasa tunajaribu kulifanyia kazi swala hili ,ilituweze kuona kwamba kama tutaweza kuripa ruksa swala hili au kulizuia.Bado tunaendelea kujifunza na kuwa karibu sana na swala hili kabla ya kufanya maamuzi yoyote.

BENNO NDULU;MTANZANIA AMBAYE YUKO TAYARI KUJIWEKA KATIKA RISKI
Amesema ingawa ,ndulu ameweza kuelezea kwamba raia wa kitanzania wanapaswa kupewa tahadhari ,kwamba kufanya kazi na cryptocurrency ni sawa na kujiweka wewe mwenye katika riski.Hivyo ni ruksa kufanya ila ni kwa mapenzi yako na riski ya mtu mwenyewe.

#thegrandpowView attachment 859950View attachment 859951View attachment 859953
hiyo picha ya mwisho huyo ni nani?
 
Anazingua huyu! Basi waruhusu hata PayPal sasa kupokea na kutoa pesa TZ...
 
Tulishambiwa na yule mdau Ontario kuwa

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Kwaiyo ndulu muongo haaa haa
 
Back
Top Bottom