Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,210
- 12,913
Hajui kitu huyo! IMF ndiyo ilishauri Serikali ya Tanzania izimulike Bureau De Change kwani zinakiuka kanuni na taratubu.Kwa hiyo ww unaelewa sana kuliko governor
Hajui kitu huyo! IMF ndiyo ilishauri Serikali ya Tanzania izimulike Bureau De Change kwani zinakiuka kanuni na taratubu.Kwa hiyo ww unaelewa sana kuliko governor
Angalizo Governor anashauriwa na wachumi yeye ajui chochote kwenye uchumi ni mwanasheria by professionalHata iweje haitakaa itokee ukafahamu mambo ya uchumi kuliko gavana wa bank.wewe jikite kwenye utalaam wako na stadi nyingine mambo ya uchumi waachie wenyewe.wakati mwingine Sio lazima kuongea unaweza kukaa kimya
Wabongo we wateme ngeli,kuwa na maneno mengi Utawaskia wanasema jamaa ni very smartWewe ni kilaza kweli yaani unataka kutwambia kuwa ukipata kazi basi wewe ndiye msomi kuliko wengine?hujui kuwa kuna watu wamesoma haswa lkn wanafanya shughuli zao?
Nchi yoyote iliyo makini Bureau de Change zinadhibitiwa na hazifanyi kazi holela kama Tanzania. Unajuta viduka vingine vimekaa kiaina aina mpaka mtu unashindwa kuelewa biashara yao wanaendeshaje.Huyu Gavana ni wa ajabu kabisa, kupunguza Bureau de Change haiwezi kuliongezea Taifa fedha za kigeni wala kuimarisha uchumi kwa kuongeza uzalishaji ,kuuza bidhaa /mazao nje ya nchi au nguvu ya shilingi kulingana na dola, euro. Bureau de Change kazi yao ni kutoa huduma kwa customers.
Hivi bado kuna walanguzu wa USD? Unafikiri kufunga Beauro de Change kutasaidia? Siku hizi kuna miamala kibao ya forex kwa mfano world remit na kadhalika na iko kimataifa sasa sijui itakuwaje
Kwa mfanyabiashara una 1500$ na kuendelea ukienda bank unaomba special rate, ni utaratibu wa kawaida, mara nyingi inakua nzuri zaidi hata ya rates za bureau de change.
gavana anapaswa kuwa na weledi zaidi ya wataalamu wake, kupokea ushauri na kuchuja inahitaji uwe mbobezi kweli kweli wa mambo ya uchumi na sera za kifedha. Nakiri udhaifu mkubwa bado unajithidhirisha kwenye chombo kikubwa kama hiki, toka enzi za Nyerere walipambana na issue hizi ili hamna mwananchi aliewahi kuona wajeda wakizunguka nje ya maduka ya kuuza fedha ni ulimbukeni tu.
Bnafc naona ni kukosa wapi tunakosea coz kinachoshusha dola sio dola kuna sabubu nyingi ikiwemo import and export, nafikili tungejikita katika vitu tunavyozalisha kuoeleka nje viende na value ya kushindana kimataifa alafu kupunguza kuagiza vitu nje kuliko unavyosindika nje, pia kitu kingine kupunguza mikopo hiyo ndo kabisa inatuua c Tz tu hata nchi zote km mnamikopo mikubwa uchumi hauwezi shindana kimataifa! Ni hayo tu
Tatizo lenu ndio hili kufikiri hao wateuliwa wenu wanajua kila kitu.. Huyo Gavana wenu ambae ni mwanasheria atajulia wapi monetary policy and flow? Yani tutaendelea kudorora siku baada ya siku kwa style hizi za kupeleka lecturers kwenda kusimamia uchumi..Uchumi sio Lecture theatre au Dissertation nyie!
Jamani kasema hao hawakuwa na leseni.kuwa gavana si lazima uwe mchumi rejeeni sheria.wachumi wengi wametumislead sana au nataka tutoe mifano ya wachumi waliotupeleka pabaya?wengine mpaka watueleza tulenyasi ili ndege zinunuliwe na zikanunuliwa mbovu.hivyo swala la elimu ya uchumi si material ktk issue hii ya bureau de change ni utashi tu wa kiakili.kwani waziri wa afya ni daktari,wa ardhi ni mtaalamu wa ardhi,tamisemi ni mtaalamu wa local gvt.jadilini mambo yenye mantiki na si ushabiki wa kisiasa.acheni siasa twendeni kwenye uhaliasia.siasa zinatupotezea muda sana tunatakia kuchukua hatua kama tunaona mambo hayaendi sawa.Learn from french.a last change in fuel price has brought a big difference.
niko ulaya MADUKA ya pesa za kigeni MACHACHE SANA.. lakini bongo kama mama ntilie
Kwanza hakuna haja ya kuwa na bureau de change kwenye miji ambako kuna matawi ya benki za biashara. Benki zifungue madirisha ya kubadilisha fedha tu ili kuwahudumia wateja. Wageni watumie ATM kwa kutumia kadi zao za VISA, MATERCARD, AMERICAN EXPRESS? UNION PAY nk. Mambo utakatishaji wa pesa yatakuwa historia.
Hata iweje haitakaa itokee ukafahamu mambo ya uchumi kuliko gavana wa bank.wewe jikite kwenye utalaam wako na stadi nyingine mambo ya uchumi waachie wenyewe.wakati mwingine Sio lazima kuongea unaweza kukaa kimya