Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wewe ni kilaza kweli yaani unataka kutwambia kuwa ukipata kazi basi wewe ndiye msomi kuliko wengine?hujui kuwa kuna watu wamesoma haswa lkn wanafanya shughuli zao?Hata iweje haitakaa itokee ukafahamu mambo ya uchumi kuliko gavana wa bank.wewe jikite kwenye utalaam wako na stadi nyingine mambo ya uchumi waachie wenyewe.wakati mwingine Sio lazima kuongea unaweza kukaa kimya