JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Leo imekuwa siku mbaya kwa familia ya prof. beno ndullu(gavana wa benk kuu) baada ya kufiwa na mama yake mzazi. Taarifa zaidi za wapi shughuli ya msiba itakuwa tutawajuza bdae.
Tunaomba mungu awatie nguvu ndugu wa marehemu katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P
Tunaomba mungu awatie nguvu ndugu wa marehemu katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P