Gavana Prof. Ndullu afiwa na mama yake

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,261
Leo imekuwa siku mbaya kwa familia ya prof. beno ndullu(gavana wa benk kuu) baada ya kufiwa na mama yake mzazi. Taarifa zaidi za wapi shughuli ya msiba itakuwa tutawajuza bdae.
Tunaomba mungu awatie nguvu ndugu wa marehemu katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P
 
Leo imekuwa siku mbaya kwa familia ya prof. beno ndullu(gavana wa benk kuu) baada ya kufiwa na mama yake mzazi. Taarifa zaidi za wapi shughuli ya msiba itakuwa tutawajuza bdae.
Tunaomba mungu awatie nguvu ndugu wa marehemu katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P

Amerudi toka America huyu bwana; kwani alikuwa na mkweree Washington D.C. Poleni watu wa B.O.T
 
Poleni mkuu Benno Ndullu. Nakuaminia sana hasa sera zako za kupunguza umasikini na kukuza uchuma
 
Back
Top Bottom