Sir curiosity
Senior Member
- Oct 2, 2021
- 153
- 117
Kuna vitu ni vigumu. kujibu moja kwa moja, kwenye umma.... ethics lazima hizingatiwe,
ila hangetakiwa kujibu kwa mfano inayoendana na ualisia wa swali.....masharti yapo. Ila hayana impact kwenye Rasilimali tulizo nazo nchini...
Mfano kuna miradi ambayo ni white elephant. Kimsingi hata wawezeshaji wanazikodolea macho kwambo usipo zimalza mkopaji hamekwisha ni lazima wazibinafishe.. .
ila hangetakiwa kujibu kwa mfano inayoendana na ualisia wa swali.....masharti yapo. Ila hayana impact kwenye Rasilimali tulizo nazo nchini...
Mfano kuna miradi ambayo ni white elephant. Kimsingi hata wawezeshaji wanazikodolea macho kwambo usipo zimalza mkopaji hamekwisha ni lazima wazibinafishe.. .