Gauge(unit of thinknees)ina maana gani pindi ununuapo bati?

JMK ROYAL SERVICES

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
226
83
GAUGE(units of thikness)
ab8116c89b00fbdce3b1ce5cb22878be.jpg

Ni neno ambalo huwezi kulikwepa pale unapoulizia bei ya bati,gauge(unit of thikness of a metal sheet or wire,unene wa coil ya bati,hii ni moja ya sababu kubwa ya kwanza kutofautisha bei za bati,ata kama bati li kiwanda kimoja,na ipo kwenye mtindo wa retrogressive scale maana yake number inavyokuwa kubwa thikness(unene)unapungua.

Mfano wa vipimo katika gauge ni 24,26,28,30 na 32.
24gauge ni nene kuliko 26g,26g ni kubwa kuliko 28g,28g ni kubwa kuliko 30g na 30g ni kubea kuliko 32g .
Hii huleta utofauti wa bei pia kuwa 24g huwa na bei kubwa kuliko 26g,na 26g huwa na bei kubwa kuliko 28g na 28g huwa na bei kubwa kuliko 30g na 30g huwa na bei kubwa kuliko 32g.
55007b9674edb79eeb87462de34d9399.jpg


Mfano wa pili
Ukichukua bati za upana huo huo za kampuni moja ili zikupe kilo 90,ukaamua kuziweka kwa bundle
Bati za gauge28 zitakaa piece 12,gauge30 zitakaa 16 na gauge 32 zitakaa 20 na zote zitakuwa na 90kg
f87860854cc567a29056cdee8983895d.jpg


Piga 0656-816616
Kwa elimu kabla ya kununi bati,kisha ununue bati unalolijua kwa bei halali na bora.
 
51fefb8788e467a7b5d490dc85de6413.jpg

SOMO LA UPANA WA BATI/UPANA UNAVYO ATHIRI BEI ZA BATI/KILA UULIZIAPO BEI YA BATI ULIZA LA UPANA GANI.

Hili ni somo kubwa sana katika ununuzi wa bati,kea kuwa unauhusiano mkubwa sana na bei ya bati ukiachilia sababu nyingine,ni kitu kikubwa sana kuzingati hasa kwa bati la aina moja na gauge moja.

Upana huwa katika vipimo vya centimeter(cm),meter(m) au milimeter(mm) n.k.

Upana hupimwa kwa kutumia measuring tape/tape/futi.itaonesha vipimo

Upana unauhusiano wa karibu pia na idadi za bati zitakazo kaa juu ya bati,ndio unatakiwa ujue unataka bati za upana upi?ili ufanye maamuzi sahihi wakati wa kununua bati na usichanganywe bei kwa kuwa ukatajiwa bei pungufu akafu ukapewa bati za upana mdogo amabo hauendani na bei halisi pia ukakubali bei ndogo wakijua watakupa bati hilo hilo ila upana pungufu,

Mfano bati la it5 la sunshare la upana wa 107cm=1075mm la gauge28 linauzwa 12,500/meter na bati hilo hilo la upana wa 87cm=870mm linauzwa 9436/meter 28gauge

Mfano bati la corrugated la gauge 28 upana wa 90cm=900mm linauzwa 9436/meter na bati hilo hilo la upana wa 86cm=86cm linauzwa 8720/meter la gauge 28.
Utaoana tofauti ya upana kidogo inavyoleta utafoauti wa mkubwa wa bei.

Mwisho ukishajua upana utakahitaji kea bati zako na mahesabu wa fundi ambao utakuonesha ni wapi unapunguza gharama,ujue pia upana halisi(overall width) na upana wa kuezekea(effective cover)
Kadri unavyonunua upana mdogi ndio unaongeza idadi ya piece za bati.

NB.Ukishanunua kagua bati zako kama ndio upana ukiochagua kwa kutumia futi yako.

Call/whatsapp 0656-816616 0766-004940
 
51fefb8788e467a7b5d490dc85de6413.jpg

SOMO LA UPANA WA BATI/UPANA UNAVYO ATHIRI BEI ZA BATI/KILA UULIZIAPO BEI YA BATI ULIZA LA UPANA GANI.

Hili ni somo kubwa sana katika ununuzi wa bati,kea kuwa unauhusiano mkubwa sana na bei ya bati ukiachilia sababu nyingine,ni kitu kikubwa sana kuzingati hasa kwa bati la aina moja na gauge moja.

Upana huwa katika vipimo vya centimeter(cm),meter(m) au milimeter(mm) n.k.

Upana hupimwa kwa kutumia measuring tape/tape/futi.itaonesha vipimo

Upana unauhusiano wa karibu pia na idadi za bati zitakazo kaa juu ya bati,ndio unatakiwa ujue unataka bati za upana upi?ili ufanye maamuzi sahihi wakati wa kununua bati na usichanganywe bei kwa kuwa ukatajiwa bei pungufu akafu ukapewa bati za upana mdogo amabo hauendani na bei halisi pia ukakubali bei ndogo wakijua watakupa bati hilo hilo ila upana pungufu,

Mfano bati la it5 la sunshare la upana wa 107cm=1075mm la gauge28 linauzwa 12,500/meter na bati hilo hilo la upana wa 87cm=870mm linauzwa 9436/meter 28gauge

Mfano bati la corrugated la gauge 28 upana wa 90cm=900mm linauzwa 9436/meter na bati hilo hilo la upana wa 86cm=86cm linauzwa 8720/meter la gauge 28.
Utaoana tofauti ya upana kidogo inavyoleta utafoauti wa mkubwa wa bei.

Mwisho ukishajua upana utakahitaji kea bati zako na mahesabu wa fundi ambao utakuonesha ni wapi unapunguza gharama,ujue pia upana halisi(overall width) na upana wa kuezekea(effective cover)
Kadri unavyonunua upana mdogi ndio unaongeza idadi ya piece za bati.

NB.Ukishanunua kagua bati zako kama ndio upana ukiochagua kwa kutumia futi yako.

Call/whatsapp 0656-816616 0766-004940
Mkuu zile transparent za kwenye godown mita bei gani???
 
JMK ROYAL SERVICES
agent wa mabati ya sunshare(agent no A-002)Wanakuuzia bati kwa price list ya kiwanda(Discount ipo)

Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)

-upana wa 107cm na 98cm
gauge 26ni 16,284/meter,

gauge28 ni 12,500/meter

gauge30 ni 11,120/=
.....,..................................................
It5-upana wa 87cm

gaug26 ni 12,114/meter,

gauge28 ni 9500/meter

gauge30 ni 8500/ meter
........................................................

It4 upana wa 81cm

28gauge ni 8,768/=meter

30gauge7,655=/meter
........................................................
Mabati ya mikunjo(Versatile) ,(roma)
upana wa 110cm

gauge26ni 17,626/=meter,

gauge 28 ni 13,500/=meter

gauge30 ni 11,710/= meter
........................................................
Mabati migongo midogo(corrugated)upana wa 90cm ya rangi

gauge 26 ni 12,114,

gauge28 ni 9500/meter

gauge30 ni 8500/meter
........................................................
Mabati migongo midogo(corrugated)upana wa 86cm ya rangi

gauge28 ni 8,700/meter

gauge30 ni 7,600/meter
........................................................
Mabati yenye chenga za miamba(natural stone coated)

ni 20,000/ piece
........................................................
-Misumali ya bati kila rangi tzs 10,000/kg inakaa mia moja
........................................................
-Kofia na valley
28gauge 13,200/= za urefu wa 3meter
30gauge 12,000/= urefu wa 3meter
.....................,..................................
-Gauge 26, 28 na 30
-upana 110cm 107cm,98cm ,87cm
-Material aluzinc
-Rangi,green,brick red,charcoal gray,b-white,blue,sea blue,tile red, red,etc
-Urefu utakao ww kuanzia meter moja mpaka 12meter kwa bati moja.
-Warranty 15 years kwa it5,it4 na versatile na 60 years kwa naturalstone coated
-Yamethibitishwa na tbs
-Utapata mzigo ndani ya masaa 24 baada ya kulipia,
-Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama na usumbufu
Tupo mikocheni pembeni na mayfair plaza
0656816616,0713637508
,0766004940,0753637508
da76b4cfbc624d9254f619589d124b86.jpg

8b7e8ced5ef9e74259c56402aee57b54.jpg
95cf347a06e4ce9f9ab462003b0f6774.jpg
855bd982f3dbc0557baee34569729111.jpg
65cb21db9049d5ef2e7db742d545dff5.jpg
268874c2a9614cd2980baf8db67e5283.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom