Barbara! Wamama was Pwani walikiona kidume Cha kwenfa UNO niJulius😅Jones...
Mimi hapa niko darasani nasomesha yale ambayo wengi hamkuwa mkiyajua.
Siko katika ubishi.
Nimemeeleza yaliyotokea UDOM kwangu imetosha.
Ulijua kuwa hafla ya kumuaga Mwalimu Nyerere safari ya kwanza ilifanyika katika jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika?
Kulia Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Titi Mohamed na wa kwanza kulia ni Bi. Tatu bint Mzee naJulius Nyerere ni huyo hapo katikati uwanja wa ndege Dar es Salaam safari ya kwanza UNO February 1955.