OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 104
- 151
Gastric trichobezoar'' ni ugonjwa ambao ni nadra sana kutokea, ni hali ya kuwa na uvimbe ulioundwa na nywele ndani ya njia ya kumengenya chakula. Mtu hupata shida ya kumeza, usumbufu wa tumbo, maumivu ya tumbo, kuvimba kwa tumbo, upungufu wa pumzi na udhaifu wa mwili. Mara nyingi hali hii huwapata wanaokula Supu ya Makongoro, kitoweo cha miguu ya ng'ombe ambacho hupikwa ikiwa imeambatana na ngozi yenye manyoya.