LPG storage nchini ni ndogo na matumizi ya LPG yamekuwa kwa kasi kubwa. Supply yake inahitaji forecast ya kueleweka ingawa inaonekana kama matumizi yamepanda kupita makadirio.Hata hivyo upatikanaji wa meli zinazoleta LPG nchini nao ni tatizo nahivyo kuleta usumbufu wa mara kwa mara kwa kukosekana gas.
Nafikri TIPER wangeweza kuwekeza katika stogare ya LPG gas ili kuondoa tatizo hili in future. Kuyaachia makampuni ya mafuta tu tena mengi ya kigeni, tutatengeneza tatizo kubwa la supply za gas.Bei ya gas ni lazima iwe reasonable maana hatuna tena nishati mbadala. I believe serikali, kupitia EWURA inaliangalia tatizo hilo kwa mapana zaidi