Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

Nimepishana na gari la Azam limebeba carbon dioxide
Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

Hiyo hewa inaingizwaje kwenye tank? Vitu o vyake vya kujazia viko wapi?

Kama carbon dioxide ni biashara haiwezekani watu mitaani kukusanywa wapumlie carbon dioxide kwenye mfano mifuko ya plastic waenda wakamuuzie Azam?

Wataalamu wa sayansi karibuni mjibu
Mkuu Kuna Industrial production of gases lazima wachague njia Bora zaidi, hapo faida kubwa inaangaliwa kwenye kuchagua njia ya uzalishaji. Njia unayoichagua wewe kujaza tanki kubwa lile tani kadhaa gharama za uzalishaji zitakuwa kubwa na hakutakuwa na faida.
 
Ni vizuri ujibu kama kichwani unazo Kwani viwanda vya vinywaji inavyotumia carbon dioxide so wanainunua

Hilo Lori nililopishana nalo limebeba carbon
kwa hiyo unataka waanze kutumia harufu za ushuzi. mkuu una mambo kwelikweli. Watege mtanki sehemu wa kukusanyia hewa kila siku unakwenda kujambia humo kwenye tanki hewa inahifadhiwa. ni mradi mzuri mkuu jaribu tu
 
Nimepishana na gari la Azam limebeba carbon dioxide
Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

Hiyo hewa inaingizwaje kwenye tank? Vitu o vyake vya kujazia viko wapi?

Kama carbon dioxide ni biashara haiwezekani watu mitaani kukusanywa wapumlie carbon dioxide kwenye mfano mifuko ya plastic waenda wakamuuzie Azam?

Wataalamu wa sayansi karibuni mjibu
Watu watalala chini na kunawa uso kwa maji safi maisha yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepishana na gari la Azam limebeba carbon dioxide
Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

Hiyo hewa inaingizwaje kwenye tank? Vitu o vyake vya kujazia viko wapi?

Kama carbon dioxide ni biashara haiwezekani watu mitaani kukusanywa wapumlie carbon dioxide kwenye mfano mifuko ya plastic waenda wakamuuzie Azam?

Wataalamu wa sayansi karibuni
Wanaikusanyaje hii hewa? Duuu!!
Ngoja nijaribu kujibu kidogo kwa utaalamu wangu manaake mimi sijabase sana kwenye gesi zinazotengenezwa zaidi Niko kwenye field ya gesi asilia(zinazochimbwa) na madini

1: Ikipata ajali matanki yakapasuka basis hewa itaevaporate kuingia hewani tu na kujichanganya huko(hewani kuna CO2) ya kutosha tu kwahiyo itakua msaada kwa mimea imeongezewa hewa yao. CO2 haiwaki kwahiyo hakuna hatari ya kulipuka ikipinduka tanker. Tatizo labda kama ivuje gas ukiwa kwenye chumba ambacho hakiingizi wala kutoa hewa ndo utakufa lakini sio barabarani.

2: Hio hewa inaingizwa kwa pampu maalum baada ya kusindikwa(compressed) inabebwa na inaenda kushushwa kwenye matanki kwa ajili ya matumizi ya viwanda. Kituo nnachokijua ni TOL gases(Kampuni ya serikali hii zamani ikiitwa Tanzania Oxygen Limited wakati huo wanatengeneza Oxygen tu kwa ajili ya ma hospitali ila saivi imekua TOL Gases wanatengeneza ges nyingi zaidi kwa ajili ya kuchomelea,viwanda na za medical pia)

Wanatengeneza kiwandani kwao na gesi Nyingine kama Oxygen wanachimba kwenye visima vyao Tukuyu na wanauza mpaka Malawi Congo na Zimbabwe

3: Haiwezekani kupumulia kwenye mfuko na kuuza kwakua itakua ni kiwango kidogo sana. Ni mpaka ipitie process ya kugandamizwa kwa presha ili ifikie viwango.
4: Wataalamu wa kitanzania wapi na ndio wanafanya kazi hizo. Mmoja wako ni huyu anayeandika haya hapa

5: Kuna wataalamu wengine wamefungua kampuni zao ndio na wanatengeneza pia kwa mfano mbagala kuna Salina Oxygen Limited japokua bado hawawezi kushindana na TOL ndo ametawala soko
Hii
 
Ukikosa jibu humu, mtafute Polepole.

Kama aliweza kudadavua ile 1.5T kwa kutuwekea hati fungani ambazo hazijaiva na zilizoiva, hili ni dogo kwake.
 
Na kwann inabebwa kwa kutumia rolly,Kwan ninzito sana?
Kama ilivyo mizigo mingine ukubwa wake anategemea na matumizi yako. Kuna Mitungi ya kg10 ,kg 15 na kg25

Pia kuna mitungi ile wanayotumia wanaochomelea mitaani

Ila matumizi ya Bakhresa(Azam) anahitaji tani 20 labda huwezi kubeba Tani hizo kwenye gari ndogo. Ndomaana kuna Tanker maalum kwa kazi hiyo

Semi ile uwezo wake ni Tan30 ila karibu Tan 6 au 7 huwa ni uzito wa lile tenki tu(kwakua limetengenezwa maalum kwa chuma kizito kuhimili presha ya ile gesi baada ya kuicompress) so mara nyingi gesi inayokua mle ni tan 23/24. Ni tofauti na tanker la mafuta
 
Carbon dioxide ni nzito kuliko hewa tunayovuta hivyo ikimwagika itafanya oxygen ipae juu. Eneo hilo litakuwa halina hewa. Watu waliokaribu watasuffocate. Ila kwa sababu ni ndogo tu ya kwenye kwenye gari, haitasambaa sana. Ila ikiwa nyingi kama ile inayotoka kwenye milima au maziwa ya volcano watu wengi sana wangekufa.
 
Carbon dioxide ni nzito kuliko hewa tunayovuta hivyo ikimwagika itafanya oxygen ipae juu. Eneo hilo litakuwa halina hewa. Watu waliokaribu watasuffocate. Ila kwa sababu ni ndogo tu ya kwenye kwenye gari, haitasambaa sana. Ila ikiwa nyingi kama ile inayotoka kwenye milima au maziwa ya volcano watu wengi sana wangekufa.
Asante boss,Mimi nikajua carbon dioxide inatoka kwa wanyama na binadamu tuu,kumbe hata kwenye milima na maziwa?
 
Yaani Hadi nimecheka
kwa hiyo unataka waanze kutumia harufu za ushuzi. mkuu una mambo kwelikweli. Watege mtanki sehemu wa kukusanyia hewa kila siku unakwenda kujambia humo kwenye tanki hewa inahifadhiwa. ni mradi mzuri mkuu jaribu tu
 
Asante mteja Hewa ya carbon dioxide ninayo kila ni ki breath out naitoa inapotelea hewani tu tatizo ijui namna ya kuihifadhi nikuuzie au nikaiuze viwanda vya Adam na kukuuzia wewe
Kuna jinsi ya kuitoa na kuhifadhi sasa uje tuikoroge ndio tuitowe tuki kuchomeka mchomeko mmoja na kutoa tutakupa 100, 000/
Mteja wa kwanza yupo pale juu #7
 
Asante boss,yaani hii hewa wanaipataje? Ni hii watu na wanyama wanayotoa au nyingine?
Ukisema ni hii wanyama wanayotoa ni ndio inafana kama hii hii ila kuipata huwezi kutumia njia ya wanyama kwakua economically hailipi. So inabidi kutengeneza. Au kuikinga(trap)

Sehemu rahisi kabisa na ambayo sio gharama ni kupitia kwenye hivyo visima(Geysers) Rungwe, Mbeya

Hizo geysers zinatoa ges kutoka ardhini kama ilivyo chemchem/ chemchem za maji ya moto
 
Ukisema ni hii wanyama wanayotoa ni ndio inafana kama hii hii ila kuipata huwezi kutumia njia ya wanyama kwakua economically hailipi. So inabidi kutengeneza. Au kuikinga(trap)

Sehemu rahisi kabisa na ambayo sio gharama ni kupitia kwenye hivyo visima(Geysers) Rungwe, Mbeya

Hizo geysers zinatoa ges kutoka ardhini kama ilivyo chemchem/ chemchem za maji ya moto
Asante mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom