Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Nimepishana na gari la Azam limebeba carbon dioxide.

Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

Hiyo hewa inaingizwaje kwenye tank? Vituo vyake vya kujazia viko wapi?

Kama carbon dioxide ni biashara haiwezekani watu mitaani kukusanywa wapumlie carbon dioxide kwenye, mfano mifuko ya plastic waende wakamuuzie Azam?

Wataalamu wa sayansi karibuni mjibu
 
Nataka kuuza carbon dioxide yangu ninayopumua nijulishe namna ya kuihifadhi na kuisafirisha kupeleka kwa mnunuzi
Carbon dioxide SI unaitoa kwa "mlango taka"? Au unataka kuuzaje? Fafanua usikute una biashara mbadala unazunguka bila kujijua
 
Asante mteja Hewa ya carbon dioxide ninayo kila ni ki breath out naitoa inapotelea hewani tu tatizo ijui namna ya kuihifadhi nikuuzie au nikaiuze viwanda vya Adam na kukuuzia wewe
Mmh mbona Kuna harufu ya biashara ya nnya
 
Nimepishana na gari la Azam limebeba carbon dioxide
Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

Hiyo hewa inaingizwaje kwenye tank? Vitu o vyake vya kujazia viko wapi?

Kama carbon dioxide ni biashara haiwezekani watu mitaani kukusanywa wapumlie carbon dioxide kwenye mfano mifuko ya plastic waenda wakamuuzie Azam?

Wataalamu wa sayansi karibuni mjibu
Watu wanajizolea CO2 kwa matumizi ya nyumbani!
 
Nimepishana na gari la Azam limebeba carbon dioxide
Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

Hiyo hewa inaingizwaje kwenye tank? Vitu o vyake vya kujazia viko wapi?

Kama carbon dioxide ni biashara haiwezekani watu mitaani kukusanywa wapumlie carbon dioxide kwenye mfano mifuko ya plastic waenda wakamuuzie Azam?

Wataalamu wa sayansi karibuni mjibu
sio kwa mawazo haya pole sana kwa kujaliwa akili za namna hiyo.
 
Nimepishana na gari la Azam limebeba carbon dioxide
Gari zinazobeba hewa ya carbon dioxide Tanzania zikipinduka maeneo yenye watu na matanki kupasuka nini kitatokea?

Hiyo hewa inaingizwaje kwenye tank? Vitu o vyake vya kujazia viko wapi?

Kama carbon dioxide ni biashara haiwezekani watu mitaani kukusanywa wapumlie carbon dioxide kwenye mfano mifuko ya plastic waenda wakamuuzie Azam?

Wataalamu wa sayansi karibuni mjibu

Je wataalamu wetu hawawezi tengeneza hewa ya carbon dioxide na kuuzia viwanda? Wakaongeza ajira na kipato?

Ngoja nijaribu kujibu kidogo kwa utaalamu wangu manaake mimi sijabase sana kwenye gesi zinazotengenezwa zaidi Niko kwenye field ya gesi asilia(zinazochimbwa) na madini

1: Ikipata ajali matanki yakapasuka basis hewa itaevaporate kuingia hewani tu na kujichanganya huko(hewani kuna CO2) ya kutosha tu kwahiyo itakua msaada kwa mimea imeongezewa hewa yao. CO2 haiwaki kwahiyo hakuna hatari ya kulipuka ikipinduka tanker. Tatizo labda kama ivuje gas ukiwa kwenye chumba ambacho hakiingizi wala kutoa hewa ndo utakufa lakini sio barabarani.

2: Hio hewa inaingizwa kwa pampu maalum baada ya kusindikwa(compressed) inabebwa na inaenda kushushwa kwenye matanki kwa ajili ya matumizi ya viwanda. Kituo nnachokijua ni TOL gases(Kampuni ya serikali hii zamani ikiitwa Tanzania Oxygen Limited wakati huo wanatengeneza Oxygen tu kwa ajili ya ma hospitali ila saivi imekua TOL Gases wanatengeneza ges nyingi zaidi kwa ajili ya kuchomelea,viwanda na za medical pia)

Wanatengeneza kiwandani kwao na gesi Nyingine kama Oxygen wanachimba kwenye visima vyao Tukuyu na wanauza mpaka Malawi Congo na Zimbabwe

3: Haiwezekani kupumulia kwenye mfuko na kuuza kwakua itakua ni kiwango kidogo sana. Ni mpaka ipitie process ya kugandamizwa kwa presha ili ifikie viwango.
4: Wataalamu wa kitanzania wapi na ndio wanafanya kazi hizo. Mmoja wako ni huyu anayeandika haya hapa

5: Kuna wataalamu wengine wamefungua kampuni zao ndio na wanatengeneza pia kwa mfano mbagala kuna Salina Oxygen Limited japokua bado hawawezi kushindana na TOL ndo ametawala soko
 
sumu ya nyoka ina protini nyingi akikuuma unajua balaa yake.vyakula pia vyenye protin tunashauriwa kula kwa wingi ili kujenga mwili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom