Pole sana OC - CID sio officer, wanazurura na madeffender usiku kukamata wacheza pool, kutoka kila kichwa 10,000/- kukamata wauza gongo ambao hawajatoa posho ya kila wiki 5,000/-, mnaweka check point za kukusanyia return, kichekesho mnasimamisha maroli tu, na madereva wanavyowadharau wanawatupia 500/- kila check point, magendo yanapita. POLIBUSINESS LTD, Ukipangiwa patrol na Pikipiki, return 10,000/- Golf return 50,000/- Deffender return 100,000/-, check point return 100,000/-, Trafic return 20,000/- kona mbovu, kwenye ulaji 50,000/-. Hao FFU ni njaa kali ndio maana wana mihasira. Mnakula na mafisadi wa CCM, ndo maana mko tayari kuwafia. Wasaliti wakubwa nyie.
ushapeleka malalamiko kwenye ngazi yoyote!? Ni kinyume ya utaratibu kwa askari yoyote kufanya hvyo!