Hivi gari sita(6) na polisi zinaweza kuzuia nguvu ya Umma!!!!!!, polisi wasijidanganye katika hilo nijuavyo mimi ni kwamba Sisi Wananchi bado ni majoga sana, labda tutafanya hivyo mpaka itakapofikia mahala CCM wakaamua kwenda mbali zaidi na kutupapasa sehemu zetu za kukalia.
Nauliza hivi, Jeshi hili huwa linakuwa wapi wakati wakazi wa maeneo ya Mbezi-Kimara, Mbezi Juu na hata Tegeta (to name a few) wakiwa wanavamiwa na kuuwawa na majambazi? Inakuwa vipi rahisi sana kwao kuzuia maandamano ya Vyama vya Upinzania lakini ngumu kwao kuzuia ujambazi?!!!!
Wao wanadhani tunaogopa hayo magari yao?tena wakaandae makaburi na wapanue keko na segerea ili tutakaokamatwa tupate pa kwenda
we umepungukiwa na fikira tena maisha yako ni ya kuombaomba rushwa nani asiyejua maisha ya police nyumba kama kibanda cha njiwa halafu leo unaamuriwa kupga raia wanaodai haki unajitia kimbelembele ajabu utakuta askari kiatu kimeenda upande unajua most of police ni wale form four waliochemsha wanakuwa hawana option ya kufanya ndo wanaamua kwenda huko wanafiki wakubwa ninyi tena ipo siku yatawakuta makubwa si mnaishi mitaani kama sisi unajua kila kitu na wakati wake nashukuru wanajeshi wengi hawapendi ujinga kama policcm wanavofanya ujinga na upambavu basi iwasaidie elimu angalau
Makamanda wa Chadema JF jitokezeni basi kwenye maandamano..
Au mnaandamana kupitia Laptop zenu na simu..
Jitokezeni kumtetea Lema
How much are you earning per month? mnakaa kwenye vijumba vya mabati fullsuti utafikiri kuku halafu mkiambiwa nendeni kuwapiga...you don't even think about ur right....Idiot
Ina maana hawa Policcm hawana shughuli nyingine ya kufanya zaidi ya kuzuia maandamano ya Chadema! Mbona kuna Uhalifu mwingi tu unaoendelea mitaani ikiwamo kukatwa mikono Albino na hatujasikia wahusika wakikamatwa! Au shughuli ya hawa Policcm ni kuzuia tu maandamano ya kudai haki!
Fanyani maandamano 2wanyuke! 2nawasubiri.
hivi kwani utawala wa sheria umewachosha watanzania???chadema wanatumia umaskini na njaa za watanzania kuvunja sheria zilizowekwa na serikali,,basi kama ni hayo ningependa jeshi lichukuwe nchi then hapo ndipo tutaonana vizuri...