Gari za FFU zimemwagwa Ubungo hadi Kimara

Salaam wakuu,
Nimetokea Kibamba. Nimefika maeneo ya Kimara nimekuta Difenda za FFU kama sita hivi zikirandaranda huku zikiwa zimesheheni askari waliojikoki kana kwamba wanajiandaa kuingia kwenye msitu wenye wanyama wakali; wamebeba maguruneti na zana za kutisha. Pamoja nao wamo askari kanzu kibao nao wanarandaranda katika maeneo hayo.

Karibu njia nzima kutoka Kimara hadi Ubungo imesheheni magari ya FFU. Mengine yamepaki maeneo ya Rombo, Baruti, Kibo na Ubungo yenyewe.

Nilijaribu kudodosa kulikoni, ndipo nilipoambiwa kuwa hayo ni maandalizi ya kuwatawanya wafuasi wa chama fulani ambao walijiapiza kuandamana leo. Maandamano hayo yalipangwa kuanzia eneo la Kimara, ndio maana Polisi wamejizatiti kudhibiti eneo hilo.

Njiani pia nilikutana na Mwenyekiti wa Bavicha Bw. John Heche akiwa kwenye gari yake Nissan Patrol nyekundu akielekea maeneo hayo. Ndio anakwenda kuongoza maandamano....!!? Tusubiri tuone!
Hivi gari sita(6) na polisi zinaweza kuzuia nguvu ya Umma!!!!!!, polisi wasijidanganye katika hilo nijuavyo mimi ni kwamba Sisi Wananchi bado ni majoga sana, labda tutafanya hivyo mpaka itakapofikia mahala CCM wakaamua kwenda mbali zaidi na kutupapasa sehemu zetu za kukalia.
 
Huyo Heche anataka kulichafua jiji. Hatukubali uhuni wao wapeleke huko huko Arusha.
 
What does a fish know about the water in which it swims all its life?

The people who arranged for this demostration are Tanzanians who want to use their contitutional wright. The Goverment who sent the FFU want to stop Democracy in action. Now let us see who is going to win. The oppressive government or Democracy.
 
Nauliza hivi, Jeshi hili huwa linakuwa wapi wakati wakazi wa maeneo ya Mbezi-Kimara, Mbezi Juu na hata Tegeta (to name a few) wakiwa wanavamiwa na kuuwawa na majambazi? Inakuwa vipi rahisi sana kwao kuzuia maandamano ya Vyama vya Upinzania lakini ngumu kwao kuzuia ujambazi?!!!!
 
Mtu kama huna kazi utahangaika kuitafuta mpaka uipate sasa wenzetu ndio wameshaipata,mi huwa najiuliza hivi wana maisha gani kiasi kwamba kila siku wanatekeleza order hata kama wanajua wanaumia?afadhali mi hyo kazi cwezi tena mimi ukinipa order ndio kabisaa umetibua
Umeshasema Wewe.
 
Nauliza hivi, Jeshi hili huwa linakuwa wapi wakati wakazi wa maeneo ya Mbezi-Kimara, Mbezi Juu na hata Tegeta (to name a few) wakiwa wanavamiwa na kuuwawa na majambazi? Inakuwa vipi rahisi sana kwao kuzuia maandamano ya Vyama vya Upinzania lakini ngumu kwao kuzuia ujambazi?!!!!
Kwa sababu majambazi si tishio kwa WAKUBWA, kama ilivyo kwa waandamanaji.
 
Hivi gari sita(6) na polisi zinaweza kuzuia nguvu ya Umma!!!!!!, polisi wasijidanganye katika hilo nijuavyo mimi ni kwamba Sisi Wananchi bado ni majoga sana, labda tutafanya hivyo mpaka itakapofikia mahala CCM wakaamua kwenda mbali zaidi na kutupapasa sehemu zetu za kukalia.

Yawezekana zimetangulizwa hizo kama kucheki hali ya hewa.
Nina imani watakuwa wanawasiliana kwa kila wanachokiona na pindi watakapohitaji kuongeza nguvu sidhani kama itakuwa ngumu kwao. Nina imani wamejipanga.
Si ajabu kuna gari nyingine kadhaa zimeweka base maeneo ya karibu tayari kwa kuwasaidia wenzao.
 
Vipi tena,mbona,nimesoma gazeti la mwananchi,kamishna Chagonja kapiga marufuku maandamano na mikutano ya chadema,kwa muda usojulikana! Vp, Heche yeye ajajua amri hiyo?....lets wait & see!
 
Nauliza hivi, Jeshi hili huwa linakuwa wapi wakati wakazi wa maeneo ya Mbezi-Kimara, Mbezi Juu na hata Tegeta (to name a few) wakiwa wanavamiwa na kuuwawa na majambazi? Inakuwa vipi rahisi sana kwao kuzuia maandamano ya Vyama vya Upinzania lakini ngumu kwao kuzuia ujambazi?!!!!
Wahusika wakuu wa UJAMBAZI na matukio mengine ya uhalifu ni wao wenyewe Polisi ndo maanana huwaoni.
 
wewe ni mtumwa ambaye hujajua madhara ya utumwa, tutakukomboa pamoja na wengine kama wewe.
Mkuu haina haja ya kumkomboa huyo,dawa ni kumuacha na umbumbu wake na mwisho wa siku watu waje wam cameron
 
Jaman tuwe makin mandamano muhimu pia mali za wanamchi muhimu mana hapo ndo utasikia uhalifu.je tatizo ni mandamano au ruhusa ya kufanya mandamano yafanyike.

Polisi hawatoi ruhusa ya maandamano mazee. vyama vya siasa vina jukumu la kutoa taarifa kwa jeshi la polisi kuhusu kuandamana kwao, siyo kuomba kibali. amka mkuu!
 
Makamanda wa Chadema JF jitokezeni basi kwenye maandamano..

Au mnaandamana kupitia Laptop zenu na simu..

Jitokezeni kumtetea Lema
 
Fanyani maandamano 2wanyuke! 2nawasubiri.
We umepungukiwa na fikira tena maisha yako ni ya kuombaomba rushwa nani asiyejua maisha ya police nyumba kama kibanda cha njiwa halafu leo unaamuriwa kupiga raia wanaodai haki.

Unajitia kimbelembele ajabu utakuta askari kiatu kimeenda upande unajua most of police ni wale form four waliochemsha wanakuwa hawana option ya kufanya ndo wanaamua kwenda huko.

Wanafiki wakubwa ninyi tena ipo siku yatawakuta makubwa si mnaishi mitaani kama sisi unajua kila kitu na wakati wake nashukuru wanajeshi wengi hawapendi ujinga kama policcm wanavyofanya ujinga na upambavu basi iwasaidie elimu angalau.
 
Fanyani maandamano 2wanyuke! 2nawasubiri.


How much are you earning per month? mnakaa kwenye vijumba vya mabati fullsuti utafikiri kuku halafu mkiambiwa nendeni kuwapiga...you don't even think about ur right....Idiot
 
Back
Top Bottom