charldzosias
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,448
- 3,334
Chuku rungu 'dawa ya mbu' puliza katka air intake kdg tu alaf washa.. Its work on diesel engines.. I thnk kwa petrol itafany kazi pia
Ndugu mie sio fundi wa magari ila niliwahi pata hilo tatizo nikalisolve kwa kufunguliwa hiyo ELECRONIC IGNITION SYSTEM ikasafishwa na kufungwa upya. Hilo zoezi hata wewe unaliweza mradi uwe a bisibisi ya star tu.Inakaa karibu na nn? ipo kwenye bonet pia?
Asante sana brotherNdugu mie sio fundi wa magari ila niliwahi pata hilo tatizo nikalisolve kwa kufunguliwa hiyo ELECRONIC IGNITION SYSTEM ikasafishwa na kufungwa upya. Hilo zoezi hata wewe unaliweza mradi uwe a bisibisi ya star tu.
View attachment 1280920View attachment 1280933
Niliambiwa hii 'distributor' haitaki kuwa hata na unyevu, ikiupata utakesha gari haiwaki!.
Wajuzi watakwambia kanapokaa kwenye gari yako!!..
Hapana sikuosha kabisaHukuosha engine kweli?
Ukibusti na betri nyingine inawaka?Ukiwasha inakua kama inataka kuwaka alafu inaendelea kutoa mlio huo huo, hyo distributor ya umeme ndo ile ya relay and fuse au ni ipi?
Hapana haiwakiUkibusti na betri nyingine inawaka?
Jamani nina gari yangu inashindwa kuwaka japo betri ina chaji , gari ina mafuta na moto unafika kwenye injini, naomba ushauri nini kinaweza kuwa tatizo hapo?
Cha kwanza kufanya cheki kiwango cha atf kwenye gia box. Fahamu gari lako linatakiwa kuwa na kiasi gani.Jamani habari za leo, tatizo la gia box kuchelewa kuchanganya haraka wakati gari inaanza mwendo, shida inaweza kuwa ni nini? Ushauri tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekuja kuomba ushauri unaelekezwa unasema hudhani,basi unajua tatizo la gari lakoMmmmh sidhani