Gari yangu inakosa nguvu mlimani

keneth83

New Member
Dec 9, 2018
1
2
Naomba kusaidiwa gari yangu inakosa nguvu mlimani na inamisi kwa mbali nashindwa nifanyaje mana nimepeleka kwa mafundi lakini tatizo bado lipo aina ya gari NISSAN NOTE
 
Kuna sababu nyingi kwa gari kukosa nguvu. Gari yako haina nguvu hata kwenye tambarare kwa kuwa unapo panda mlima nguvu nyingi ina hitajika ndo maana unahisi na kusikia haina nguvu
Kwanza kabisa
1. angalia fuel pump yako kama ni nzuri
2. angalia spark plug zako
3. angalia sparl plug cables kama nzuri
kujuwa kama sparrk plug zako nzuri au zina toa moto nje fanya yafuatayo. Giza likiingia zima, fungua boneti ya gari yako, ita mtu akusaidie kukanyaga accelerator wakati huohuo wewe akuangalia kwenye eneo la spark plug, ukiona cheche zina ruka nje juwa kabisa zina tema moto nje badirisha. kwa cable nakushauri nunua genuine na mpya sio used ziwe zote
 
Naomba kusaidiwa gari yangu inakosa nguvu mlimani na inamisi kwa mbali nashindwa nifanyaje mana nimepeleka kwa mafundi lakini tatizo bado lipo aina ya gari NISSAN NOTE
Ni Auto or manual?

Well fata maelekezo ya jamaa hapo

Ila kwa ziada..

Je Gearbox uliwahi badilisha? Au iliwahi kuleta shida?

Kama ni Auto jaribu hili..

Ukiwa unapanda mlima pale nguvu ikiwa inashuka(inakuwa ndogo) badil gia kutoka D na kushuka mpaka L je kuna tofaut imetokea? Kama gari imepata nguvu bas mtafute fundi achek gearbox kwa undan zaidi


Swala LA miss check mafuta unayotumia yamekuwa contaminated na maji?

Je silencer ipo high or low? Jaribu kubalance..
Fuel filter ichek iwe ipo sawa na safi.

Plugs pia.. Zinachoma? Check katika plug chambers kama kuna mafuta mafuta..

Zen unaweza kujarib kuchomoa plug wakat Gar ipo on kuona mabadiriko ya injin.. (Kiufund zaid)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sababu nyingi kwa gari kukosa nguvu. Gari yako haina nguvu hata kwenye tambarare kwa kuwa unapo panda mlima nguvu nyingi ina hitajika ndo maana unahisi na kusikia haina nguvu
Kwanza kabisa
1. angalia fuel pump yako kama ni nzuri
2. angalia spark plug zako
3. angalia sparl plug cables kama nzuri
kujuwa kama sparrk plug zako nzuri au zina toa moto nje fanya yafuatayo. Giza likiingia zima, fungua boneti ya gari yako, ita mtu akusaidie kukanyaga accelerator wakati huohuo wewe akuangalia kwenye eneo la spark plug, ukiona cheche zina ruka nje juwa kabisa zina tema moto nje badirisha. kwa cable nakushauri nunua genuine na mpya sio used ziwe zote
Hive karibuni ratizo hili lili nikumba pia, Fundi alinitaka nibadilishe fuelpump na plug, baa ya kubadilisha tatizo limeisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sababu nyingi kwa gari kukosa nguvu. Gari yako haina nguvu hata kwenye tambarare kwa kuwa unapo panda mlima nguvu nyingi ina hitajika ndo maana unahisi na kusikia haina nguvu
Kwanza kabisa
1. angalia fuel pump yako kama ni nzuri
2. angalia spark plug zako
3. angalia sparl plug cables kama nzuri
kujuwa kama sparrk plug zako nzuri au zina toa moto nje fanya yafuatayo. Giza likiingia zima, fungua boneti ya gari yako, ita mtu akusaidie kukanyaga accelerator wakati huohuo wewe akuangalia kwenye eneo la spark plug, ukiona cheche zina ruka nje juwa kabisa zina tema moto nje badirisha. kwa cable nakushauri nunua genuine na mpya sio used ziwe zote
Mkuu hapo No.1 siyo kwamba unamaanisha injector pump au carburetor kama ni petrol engine?!
 
Samahanini gari langu aina ya kirikuu lina kosa nguvu hasa wakati napand mlima nisaidien nijuw tatizo ni nn

Ninamiliki kirikuu. Ikitokea tatizo kama hilo la kukosa nguvu. Gari ikawa haizidi speed 60. Tatizo lilikuwa kwenue valves baada ya kuweka mafuta machafu. Tafuta fundi afungue cylinder head asugue hizo valve. Kwa ushauri zaidi mwambie fundi akague coils huenda zimepasuka zinatupa moto nje. Kama ni coils basi badilisha tatizo litaisha. Usikubali kufungua engine yote.
 
Back
Top Bottom