PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,052
- 29,749
Mkuu Mlolongo sikuzote babywalker ndivyo zilivyo zikishafika speed 100 zinakuwa hazina stability barabaran hiyo inatokana na namna hizo gari zilivyotengenezwa...
Pia hizo gari ni hatari Sana kama itatembea Kwenye speed hiyo, angalau Toyota IST kidogo iko poa barabaran unaweza kupiga speed Hadi 140 na bado inakuwa iko poa,lkn kama unaendesha Passo,bits, swift na honda fit usitegemee kuwa na utulivu barabaran.
jitahidi siku ambayo utasafiri Safar ndefu kuepuka speed kubwa Kwenye hiyo gari ni hatari kubwa
Pia hizo gari ni hatari Sana kama itatembea Kwenye speed hiyo, angalau Toyota IST kidogo iko poa barabaran unaweza kupiga speed Hadi 140 na bado inakuwa iko poa,lkn kama unaendesha Passo,bits, swift na honda fit usitegemee kuwa na utulivu barabaran.
jitahidi siku ambayo utasafiri Safar ndefu kuepuka speed kubwa Kwenye hiyo gari ni hatari kubwa