Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 950
- 2,258
Same to me, tatizolilikuwa mounting ilikatikaMountings hazipo sawa kama na suala la oil ulishaliweka sawa.
Hangaika nazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same to me, tatizolilikuwa mounting ilikatikaMountings hazipo sawa kama na suala la oil ulishaliweka sawa.
Hangaika nazo.
Silenca iko nirmal oil haina wiki lita 5 lakn imesuka nayoOil iko chini au sailensa iko juu
wakati unaingiza gia usikanyage mafuta
pia ukiwasha gari iache kama sekunde30 oil ipande na usikanyage resi
For surewakati unaingiza gia usikanyage mafuta
pia ukiwasha gari iache kama sekunde30 oil ipande na usikanyage resi
Gari haiwezi kuwa na nguvu kama oil inavuja.Silenca iko nirmal oil haina wiki lita 5 lakn imesuka nayo
Jibu number 1Kagua kitu inaitwa Gearbox mounting kama ziko sawa...
Huenda forward clutch au shift solenoid moja ishajifia.Wazeee za asubuhi,gari imenisumbua tena haiendi mbele ila kurudi nyuma tu
Jana tulitengeneza valve sile ilikuwa ndo inavujisha hydraulic na ile sauti iliisha kabisa sasa hivi asubuhi haiendi mbele
Sawa mkuuJibu number 1
Ikishajifia ndo gearbox nzima imekufa mkuu au ndo hapo nabidi nifanyejeHuenda forward clutch au shift solenoid moja ishajifia.
Sawa mkuu ila uku mikoani mafundi nao wanasumbua zinauzwa bei gani mkuu za carinaza kubadilisha kama zimekufa
Nunua oil original, hiyo PASSO japo uliinunua milioni 3 lakini usiidharau, weka oil ya dukani si za kupima huko mtaani.Namiliki babywoka jamii ya IST, Swift, Honda Fit au Passo.
Asubuhi napowasha gari au mfano gari nimepaki mahali muda mrefu, nipokuja kuwasha gari si inakuaga P?
Okey, sasa nashika gear lever naweka Reverse kutoa parking/getini. Kisha nikipeleka D au L au 2 ili niondoke, gari inafanya kama kushituka hivi Khuu, then gia inaingia fresh naondoka zangu.
Sema nini, baada ya hapo (yaani gari ikiwa imechanganya) haishituki tena. Hii inatokea tu asubuhi napoiwasha, au nikiwa nimeipaki mahali muda mrefu (imepoa weeee) halafu nikaiwasha sasa nikataka kutoa R kwenda D.
Naomba nieleweke:
Asubuhi napowasha gari nikiweka Reverse nikapeleka Drive (D/2/L) gari inashtuka hivi. Lakin baada ya hapo (hata nikirudia tena mara ya pili) haishituki tena. Mpaka ipoe tena weeeee halafu nifanye tena kutoa R kwenda D/2/L ndio mshituko utatokea.
Hii itakua imekaaje mazee. Tatizo ni ile gear lever, gearbox, oil, fuel, engine au nini?
Babywoka yangu naipenda.
Sijajua mkuu kwa gari hiyo.Sawa mkuu ila uku mikoani mafundi nao wanasumbua zinauzwa bei gani mkuu za carina
Ngoja nikupe siri itakayakuokoa!Asilimia 99 ya mafundi wa Tanzania ni magenge ya kuharibu magari ya watu.Tumia muda wako,akili pamoja na hela kutafuta mafundi ambao kazi yao siyo kuharibu magari bali ni kutengeneza magari, tofauti na hapo utakuwa unalia kila siku.Wazeee za asubuhi,gari imenisumbua tena haiendi mbele ila kurudi nyuma tu
Jana tulitengeneza valve sile ilikuwa ndo inavujisha hydraulic na ile sauti iliisha kabisa sasa hivi asubuhi haiendi mbele
Safi faza nimekuelewa sanaShida ni moja kati ya haya mambo mawili.
1. Gearbox oil imechoka hivyo inakuwa na nzito kuflow(viscosity kubwa) ikiwa ya baridi.
2. Oil unayotumia siyo sahihi/incompatible kwa gearbox yako.
N.B. Oil huwa nzito kuflow ikiwa ya baridi na huwa nyepesi ikiwa ya moto.
Mkuu hivi kile kiduku kwenye rav4 old model kinatokaje,maana rav4 nyingi uwa zina hilo tatizoShida ni moja kati ya haya mambo mawili.
1. Gearbox oil imechoka hivyo inakuwa na nzito kuflow(viscosity kubwa) ikiwa ya baridi.
2. Oil unayotumia siyo sahihi/incompatible kwa gearbox yako.
N.B. Oil huwa nzito kuflow ikiwa ya baridi na huwa nyepesi ikiwa ya moto.
Namiliki babywoka jamii ya IST, Swift, Honda Fit au Passo.
Asubuhi napowasha gari au mfano gari nimepaki mahali muda mrefu, nipokuja kuwasha gari si inakuaga P?
Okey, sasa nashika gear lever naweka Reverse kutoa parking/getini. Kisha nikipeleka D au L au 2 ili niondoke, gari inafanya kama kushituka hivi Khuu, then gia inaingia fresh naondoka zangu.
Sema nini, baada ya hapo (yaani gari ikiwa imechanganya) haishituki tena. Hii inatokea tu asubuhi napoiwasha, au nikiwa nimeipaki mahali muda mrefu (imepoa weeee) halafu nikaiwasha sasa nikataka kutoa R kwenda D.
Naomba nieleweke:
Asubuhi napowasha gari nikiweka Reverse nikapeleka Drive (D/2/L) gari inashtuka hivi. Lakin baada ya hapo (hata nikirudia tena mara ya pili) haishituki tena. Mpaka ipoe tena weeeee halafu nifanye tena kutoa R kwenda D/2/L ndio mshituko utatokea.
Hii itakua imekaaje mazee. Tatizo ni ile gear lever, gearbox, oil, fuel, engine au nini?
Babywoka yangu naipenda.