engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Huko mkoani Mara, askari wamemtia nguvuni dereva pamoja, utingo pamoja na mmiliki wa gari moja lililosajiliwa kwa ajili ya kusafirisha mafuta ya gari, Scania yenye "plate" namba T263 BLL (pichani) lililokuwa limesheheni bangi iliyokuwa ikisafirishwa kuelekea jijini Dar es Salaam tokea eneo la Lamadi, Mara.
Eneo hilo linasadikika kuwa maarufu kwa biashara ya bangi kiasi cha kuzoeleka kwa wakazi wa eneo hilo.