Samahani mkuu, hivi kwako unapotumia neno 'mpyaa' unamaanisha nini? Yaani ukapate Civilian mpya kwa 32?Bei mbaya. Labda hujafikiria 32 milions inaweza nunua nini kingine. Kwa pesa hiyo unaweza pata Nissan Civilian 'mpyaa' kutoka Japan.
Au Mitsubishi Canter; ambazo ni gari za uhakika. Hiyo ni ndoa ya Kikristo mkuu!
Gari nzuri mkuu labda tu wadau wametishwa na body. Ngoja jijaribu pia kuwashirikisha na wadau wangu watoto wa mjini. Natumain gari ipo Dar na haina shida yoyote pia bei inaweza kutikisika maana hiyo ni bei ya Canter tani mbili second hand ya Japan
Nashukuru Mkuu. Kuhusu bei mazungumzo yapo. Tuwasiliane kwa 0787521897. Gari ipo DarGari nzuri mkuu labda tu wadau wametishwa na body. Ngoja jijaribu pia kuwashirikisha na wadau wangu watoto wa mjini. Natumain gari ipo Dar na haina shida yoyote pia bei inaweza kutikisika maana hiyo ni bei ya Canter tani mbili second hand ya Japan
Mpya ya Kibongo bongo. Yani ile used toka Japan.Samahani mkuu, hivi kwako unapotumia neno 'mpyaa' unamaanisha nini? Yaani ukapate Civilian mpya kwa 32?
Mkuu hupati Civilian ya bei hiyo aiseeMpya ya Kibongo bongo. Yani ile used toka Japan.
Mie najua pa kuipata!Mkuu hupati Civilian ya bei hiyo aisee
Mkuu naomba nitumie picha zake soon ukiipata ya hiyo bei kwenye namba yangu ya Whatsapp 0755963775.Mie najua pa kuipata!
Bei ndo wizzard magari yameshuka bei sanaNashindwa kuelewa kwanini haitoki. Nimetafuta madalali wa humu, lakini wameshindwa kuiuza. Labda kama yupo dalali unayemfaham nisaidie mawasiliano yake
Vipi upatikanaji wa spare mkuu?Bei tunaweza zungumza Mkuu.
Kuna mganga nafahamiana naye yuko Iringa ni kiboko kuna dawa akikupa lazima mzigo uuze leo leo hata kama gari ni bovu.Nashindwa kuelewa kwanini haitoki. Nimetafuta madalali wa humu, lakini wameshindwa kuiuza. Labda kama yupo dalali unayemfaham nisaidie mawasiliano yake