Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,314
- 24,177
Utanuaji wa magari ya Serikali sasa yameanza kusababisha maafa.
Leo jioni gari Kilimo Kwanza la Jaji mmoja, pale Mwenge limesababisa ajali na kupelekea daladala lililouwa linamkwepa huyo mkubwa kugonga wajenzi wa barabara Mwenge-Morocco.
Vijana kadhaa wajenzi wamegongwa na kukimbizwa Muhimbili.
Hali zao haijulikani.
Serikali inalifumbia macho tatizo la madereva wake.
Wananchi twafwa!
UPDATE
=======
Gari ya Jaji iliyosababisha ajali ni J66.
Leo jioni gari Kilimo Kwanza la Jaji mmoja, pale Mwenge limesababisa ajali na kupelekea daladala lililouwa linamkwepa huyo mkubwa kugonga wajenzi wa barabara Mwenge-Morocco.
Vijana kadhaa wajenzi wamegongwa na kukimbizwa Muhimbili.
Hali zao haijulikani.
Serikali inalifumbia macho tatizo la madereva wake.
Wananchi twafwa!
UPDATE
=======
Gari ya Jaji iliyosababisha ajali ni J66.