sijui wenye magari. mie nisiekuwa hata na tukutuku nijipitie tu kimyakimya....
Afadhali ya tukutuku mie hata baiskeli sina...
gari tu mnakuja kutao mapuvu huku je nyie vingapi tuinawapa? pia mko wengi nyie lazima wote mlizishwe wa pekee ako labda umfungie kamba xo wese mtatoa na kidiga mtaliwa tu no way out
aisee punguza povu...halafu hiyo "xo" kamusi ya TUKI haina..
Unaitwa kule we bi dada