Se-qu-el
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 236
- 113
Habarini wanajukwaa, gari yangu SUZUKI ESCUDO G16, Milango mitatu ASUBUHI ukiiwasha inawaka na KUZIMA, MPAKA urudie kama Mara kumi ndipo iwake na kukaa silence, na ukipandisha silence lazima ishuke, tatizo kubwa ni wakati wa usiku ukiwasha taa hata kama umepaki lazima izime au ukiwasha ac lazima izime au ukipandisha kioo inazima, sijui shida iko wapi?
Naomba usaidizi.
Naomba usaidizi.