mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
hello jf
nauza gari aina ya Toyota Corona Exiv..ni gari yangu hakuna udalali ipo dares salaam.
ni gari yamwaka 1999.....
inatembea na ipo kwenye hali nzur kama inavyoonekana nahitaji tu kuiuza maana nimenunua nyingine.
manual car
cc 1800
power windows (japo iko faulted ni ya kubadili kioo kimoja hakishuki).
black metalic
sports rimz
taa moja ya parking ya mbele kushoto imepasuka
odometer 180,000km
haijalipiwa roadlicense mwaka 1.
Full air conditioning.
Engine 3S aka moyo wa simba.
spair tyre na jeki vimo.
Gari inakimbia sana hii nimeitumia kwa miaka miwili bila matatizo yeyote ya kiufundi.......... na ulaji wa mafuta ni mdogo kompead na cc zake...
serious buyers nitumie PM...huko utapata namba yangu ya simu
Bei ya kuanzia ni 3.5milion nimeshusha
nauza gari aina ya Toyota Corona Exiv..ni gari yangu hakuna udalali ipo dares salaam.
ni gari yamwaka 1999.....
inatembea na ipo kwenye hali nzur kama inavyoonekana nahitaji tu kuiuza maana nimenunua nyingine.
manual car
cc 1800
power windows (japo iko faulted ni ya kubadili kioo kimoja hakishuki).
black metalic
sports rimz
taa moja ya parking ya mbele kushoto imepasuka
odometer 180,000km
haijalipiwa roadlicense mwaka 1.
Full air conditioning.
Engine 3S aka moyo wa simba.
spair tyre na jeki vimo.
Gari inakimbia sana hii nimeitumia kwa miaka miwili bila matatizo yeyote ya kiufundi.......... na ulaji wa mafuta ni mdogo kompead na cc zake...
serious buyers nitumie PM...huko utapata namba yangu ya simu
Bei ya kuanzia ni 3.5milion nimeshusha