Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,055
Wadau sitaki kuongea sana..
Wewe unaonaje apo kati ya kulea mtoto na kusimamia gari lako unaloliendesha kila siku ni kipi kinakuwa na gharama kubwa?
Inategemea na gari...sawa!!sema kulingana na gari ulilonalo na wa/mtoto wako.
Tairus.
.......................
..
you may not start conversation with the following recipient;Tairus
Wewe unaonaje apo kati ya kulea mtoto na kusimamia gari lako unaloliendesha kila siku ni kipi kinakuwa na gharama kubwa?
Inategemea na gari...sawa!!sema kulingana na gari ulilonalo na wa/mtoto wako.
Tairus.
.......................
inategemea na age ya mtoto na aina ya gari... na mfumo wako wa maisha .
maana hata sisi maskini tusio na kazi, wakulima wadogo, mama ntilie tuna watoto... na tunawatunza. ila hatuna magari na hata tukiwa nayo hatuwezi yatunza
..
you may not start conversation with the following recipient;Tairus