Gari moja ya Msafara wa JK yapata pancha Kwa Komba, jirani na Tangi Bovu, Mbezi Beach

MwanaHaki

R I P
Oct 17, 2006
2,401
705
Nimeipata hii sasa hivi. Ni breaking news!

Imethibitika kwamba mojawapo ya magari yaliyokuwa kwenye msafara wa Rais, akielekea nyumbani kwake Bagamoyo kwa mapumziko mafupi, imepata pancha eneo la Kwa Komba, jirani na Tangi Bovu, Mbezi Beach.

Shuhuda huyo amenitumia ujumbe mfupi, uliosema: Huwezi amini, gari ya msafara wa rais imepata pancha hapa Kwa Komba, Tangi Bovu.

Ujumbe umetumwa saa 5:17 asuubuhi, tarehe 14-11-2010


Swali: Magari ya msafara wa rais huwa yanakaguliwa matairi yake mara ngapi kwa wiki? Ina maana hili hawakuliona na kulibadilisha? Je, lingekuwa ni la rais mwenyewe, kisha likapasuka (tyre burst) na gari yake kupinduka? Angelaumiwa nani? Hawa maofisa wa Usalama wa Taifa waliopo Ikulu, chini ya Bw. Zoka (ninamfahamu...) NI WAZEMBE KUPINDUKIA!
 
Kama mkulu mwenyewe ni mzembe usitegee wanaomfuata watakuwa makini!!

Mr President has to change his way of doing everything and unfortunately it's too late.

Tuvumilieni watanzania wakati bado tunatafuta namna ya kuelimishana na hizi hatari.
 
nadhani pancha inaweza kuipata gari yoyote ile, hasa ukizingatia barabara zetu nazo nyingine si lami

tusiwe hivi jamani, nchi tutaijenga kwa kuhoji yale mazito zaidi
 
Nani anajali hilo swala? akipata pancha asipate mimi halinihusu kwa kuwa sio rais wangu. :A S angry: WHO CARES :A S angry:
 
Pole sana kwa masahibu na aibu mr. President. Nafikiri suala hili lisipite hivihivi, uchunguzi wa kina ufanyike na kama kuna wazembe wowote wale wachukuliwe hatua zinazopasa

once again pole sana mheshimiwa raisi
 
hakuna uchunguzi uliwahi kufanyika ukaleta badiliko lolote, angeanza na kufukuza kazi tume ya uchaguzi hata kabla pancha haijazibwa
 
Kama mkulu mwenyewe ni mzembe usitegee wanaomfuata watakuwa makini!!

Mr President has to change his way of doing everything and unfortunately it's too late.

Tuvumilieni watanzania wakati bado tunatafuta namna ya kuelimishana na hizi hatari.

aibu sana but JK sio makini hata kidogo.ashukuru tz bado kuna amani maana ameshakutana na mengi ya hovyo!pole sana JK
 
Nimeipata hii sasa hivi. Ni breaking news!

Imethibitika kwamba mojawapo ya magari yaliyokuwa kwenye msafara wa Rais, akielekea nyumbani kwake Bagamoyo kwa mapumziko mafupi, imepata pancha eneo la Kwa Komba, jirani na Tangi Bovu, Mbezi Beach.

Shuhuda huyo amenitumia ujumbe mfupi, uliosema: Huwezi amini, gari ya msafara wa rais imepata pancha hapa Kwa Komba, Tangi Bovu.

Ujumbe umetumwa saa 5:17 asuubuhi, tarehe 14-11-2010


Swali: Magari ya msafara wa rais huwa yanakaguliwa matairi yake mara ngapi kwa wiki? Ina maana hili hawakuliona na kulibadilisha? Je, lingekuwa ni la rais mwenyewe, kisha likapasuka (tyre burst) na gari yake kupinduka? Angelaumiwa nani? Hawa maofisa wa Usalama wa Taifa waliopo Ikulu, chini ya Bw. Zoka (ninamfahamu...) NI WAZEMBE KUPINDUKIA!


huu ni umbea tu ni aina ya watu kama nyingi ambao mnafikiri mtu akiwa Rais hawezi kufa, ndege yake haiwezi kupata ajali, magari yake hayawezi kupata pancha, magari ya Rais hayawezi kupata ajali, magari ya Rais hayawezi kugonga mtu barabarani.

Siamini kwamba kila jambo linalompata Rais kwenye msafara wake linatokana na uzembe na ndio maana nasema huu ni umbea umejuaje kama ni uzembe?
 
Nimeipata hii sasa hivi. Ni breaking news!

Imethibitika kwamba mojawapo ya magari yaliyokuwa kwenye msafara wa Rais, akielekea nyumbani kwake Bagamoyo kwa mapumziko mafupi, imepata pancha eneo la Kwa Komba, jirani na Tangi Bovu, Mbezi Beach.

Shuhuda huyo amenitumia ujumbe mfupi, uliosema: Huwezi amini, gari ya msafara wa rais imepata pancha hapa Kwa Komba, Tangi Bovu.

Ujumbe umetumwa saa 5:17 asuubuhi, tarehe 14-11-2010


Swali: Magari ya msafara wa rais huwa yanakaguliwa matairi yake mara ngapi kwa wiki? Ina maana hili hawakuliona na kulibadilisha? Je, lingekuwa ni la rais mwenyewe, kisha likapasuka (tyre burst) na gari yake kupinduka? Angelaumiwa nani? Hawa maofisa wa Usalama wa Taifa waliopo Ikulu, chini ya Bw. Zoka (ninamfahamu...) NI WAZEMBE KUPINDUKIA!

hivi kila kitu mnataka mtu awajibike?, ili mpira usipate pacha gari linafanyiwa checkup ya namna gani?, mnataka jk atembelee mpira mpya kila siku?, hiyo gharama atalipa nani?, kwa hizi brbr zetu zilivyo sishangai kuona tyre mpya likipasuka achilia mbali pancha. Siungi mkono hoja yyt inayosema kuwa gari kupata pacha ni uzembe.
 
nadhani pancha inaweza kuipata gari yoyote ile, hasa ukizingatia barabara zetu nazo nyingine si lami

tusiwe hivi jamani, nchi tutaijenga kwa kuhoji yale mazito zaidi

mbona sijawahi kusikia gari za msafara wa Obama and Cameroon zimepata pancha??
 
mbona sijawahi kusikia gari za msafara wa Obama and Cameroon zimepata pancha??
Mkuu nimekugongea senks! Mawazo yangu umeyasoma.. unajua haya mambo ya kusema eti ni kitu ha kawaida ndo inatupeleka pabaya...
Sasa msafara wa rais inatakiwa iwe BOMB proof sembuse ka-pancha..
Mbona hata enzi za Nyerere sijawahi kuona au kusikia pancha?
Jamani tuwe serious na tusije kuwa na mentality kama JK eti kila kitu ni sawa...
Hii ni aibu hususan kwa sababu si mara ya kwanza...:A S angry:
 
nadhani pancha inaweza kuipata gari yoyote ile, hasa ukizingatia barabara zetu nazo nyingine si lami

tusiwe hivi jamani, nchi tutaijenga kwa kuhoji yale mazito zaidi

hili ni kubwa bana,tunahitaji kujua hizi tyres zimetoka wapi,kama ni za kichina je?maisha ya rais (msafara)yasihatarishwe kwa lolote lile .
 
Mkuu nimekugongea senks! Mawazo yangu umeyasoma.. unajua haya mambo ya kusema eti ni kitu ha kawaida ndo inatupeleka pabaya...
Sasa msafara wa rais inatakiwa iwe BOMB proof sembuse ka-pancha..
Mbona hata enzi za Nyerere sijawahi kuona au kusikia pancha?
Jamani tuwe serious na tusije kuwa na mentality kama JK eti kila kitu ni sawa...
Hii ni aibu hususan kwa sababu si mara ya kwanza...:A S angry:

Jambo la msingi la kujua ni gari lipi lililokuwa kwenye msfara limepata hiyo dhahma.............For security reasons gari ya Rais na escort huwa ni special order under special specs.....na hata tairi zake ni special...........hii imekuwa norm sasa kusikia eti mara ya gari ya Rais au escort imepata pancha.................kama tunakubali kuchakachua standard za security ya Rais nitawaelewa..........Wazembe wa kufikir mnachakachua hadi standard ya magari ya Rais?..........damn
 
Mambo mengine mnashadadia kwani, gari za msafara haiwezikupata pancha???inatumia tairi kama magari mengine je kama amekanyaga msumari?au inatumia matairi ya vyuma?
 
hivi kila kitu mnataka mtu awajibike?, ili mpira usipate pacha gari linafanyiwa checkup ya namna gani?, mnataka jk atembelee mpira mpya kila siku?, hiyo gharama atalipa nani?, kwa hizi brbr zetu zilivyo sishangai kuona tyre mpya likipasuka achilia mbali pancha. Siungi mkono hoja yyt inayosema kuwa gari kupata pacha ni uzembe.

Duh kaka wewe uko narrow minded balaaaaa!!!!!. Gari kupata pancha ni uzembe mkubwa. Moja: wenda upepo ulizidishwa, ukijumlisha na twistings na joto lazima tyre ipasuke. Pili: labda tyre ni fake na hii ndo sababu kubwa ya ajali za magari TZ na sasa inaadhiri hadi usalama wa rais, haya ndo matokeo ya kuwa na weak institutions kama TBS na FCC. Tatu: Tyre ni nzee imeishazidi kiliometer za kuruhusiwa kutembea, watu wengi wanafikiri tyre kuzeeka hadi iwe kipara, naamini maafisa wa kikwete anaowachagua kirafiki watakuwa hawako well educated.
 
Mambo mengine mnashadadia kwani, gari za msafara haiwezikupata pancha???inatumia tairi kama magari mengine je kama amekanyaga msumari?au inatumia matairi ya vyuma?

kaka hapo sasa ndio unapokosea! magari ya Rais sio sawa na magari yetu. Kila kitu ni tofauti kuanzia vioo, matairi nk. Huwa zinatengenezwa kwa oda maalum.

Pia kwa sababu za kiusalama magari ya Rais yanatakiwa yawe yanakaguliwa kila mara, lakini kwa Mkwere naona imekuwa tofauti, siku hizi tunasikia vituko vya kila aina, mara yametiwa petrol feki kule Moshi, mara limegoma kuwaka nk...

Inatisha!
 
Back
Top Bottom