Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,005
- 173,646
kwa wepesi nakubaliana na wewe kabisa maana hata kulisukuma huwa sihitaji msaada. Nalisukuma mwenyewe tu ikitokea limegoma kuwaka.Opa inateleza mkuu gari yangu ya 2 kumiliki, ila gari ile nyepesi sana but kwa mbio ni balaa
Kwa mbio ndio usiseme, linatembea kinoma af liko stable likiwa na suspension parts nzima.