Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,920
- 63,879
Mpango wangu ni nisife kabla sijamiliki gari. Hata hili lingefaaHii ukiinunua unaipack kwa ajili ya maonyesho.
Mpango wangu ni nisife kabla sijamiliki gari. Hata hili lingefaaHii ukiinunua unaipack kwa ajili ya maonyesho.
Mpango wangu ni nisife kabla sijamiliki gari. Hata hili lingefaa
Ulivyo kibonde utafungwa mpaka urudi home kwa miguu gari utalisahau kijiweniHahaha, safi sana.
Mimi nataka kununua gari ili niwe naenda nalo kijiweni kucheza draft huku nimeshika funguo.
Ulivyo kibonde utafungwa mpaka urudi home kwa miguu gari utalisahau kijiweni
TukutaneSiku hizi kiwango kumepanda panda sana
dahHebu toa takataka hiyo unajaza server za watu.
Tukutane
Kibonde upo free?Ukiwa free nicheki tupashe game 3.
Kibonde upo free?
Poa nakusubiriTwende, game 3 tu
Kibonde nakuinvite unakimbiaTwende, game 3 tu
Bila kusahau vile vilima vyaItakuwa imepiga sana ruti za kemondo bukoba