Gari lenye hali nzuri japo sio jipya (used)...lenye 4WD kwaajili ya kuhimili barabara za vijijini linahitajika....gharama iwe reasonable...about 4mio to 5mio....mwenye nalo awe tayari mnunuzi kulifanyia inspection ya kina...mahali DAR ES SALAAM....Kwa mawasiliano zaidi let's chat in PM!
......baada ya ushawishi, pia carina au corrola yahitajika.......msisitizo in good condition.....
......baada ya ushawishi, pia carina au corrola yahitajika.......msisitizo in good condition.....