UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 727
- 2,203
Hahhaha jamaa zangu watafurahiAiseee,inaonyesha unawapenda sana hao mbuzi wa kikristu..hahahaa
Hahhaha jamaa zangu watafurahiAiseee,inaonyesha unawapenda sana hao mbuzi wa kikristu..hahahaa
Sijui?labda kamaanisha 400!
Utaweza kuvunja sefu?Mimi gari linalosafirisha hela lipate ajali jirani na kwangu.
Toka huu mwezi uanze sijacheka kama nilivyocheka baada ya kusoma comment yako!Lianguke lililombeba jiwe.
Kwa kweliGari LA K
Tunafungua nzimaHao wanaokunywa hivyo vinywaji kwenye chupa hawajui kama wanaweza kunywa na vipande vya chupa?
MmmhTanker la petrol itapendeza zaidi. Kuna raia kule Mbeya wanajua raha yake