no9
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 188
- 18
Kunajamaa yangu kamuazima rafiki yake gari,jamaa kamchukua g/f wakaenda kuvinjari nyumba ya wageni,mbeya mmoja kapita yale maeno kaliona gari analifahamu kampigia simu yule mke wa mwenye gari uko wapi?akmjibu nipo salon,njoo haraka mumewo yupo hapa guest.........mke kakurupuka mpaka g..kufika kampigia cm mume toka humo ndani mie nipo hapa mapokezi,mume kamuuliza mapokezi kamjibu eeeh wapi si guest ya .......,mume kamjubu haya ngoja navaa nitoke.mume kachukua taxi mpaka pale g..yule mke kashangaa mume anatokea getini.mume kamuuliza hapa ndiyo salon naona umezoea kuja hapa hebu ngoja nimwite aliye kuja na hili gari kampigia simu akatoka nafunguo za gari unaona kwahiyo umekuja hapa umeona gari unajihami sasa hebu twende nyumbani ukanieleze vizuri kilichoendela tulikosa ushuda ungekuwa wewe ungefanyaje