.....ada. nimejaza nafasi uliyoacha wazi hapo mtotowamjini
fuatilieni estimates za kulitengeneza lirudi upya ! wallah mtaona maajabu, windscreen haitapungua m3!
Kicheruka! Natumia Tecno T325 yani kuattech picha ni ndoto ya mchana!
Samahani kwa hilo la picha Kicheruka!