Gari la wagonjwa latumika kubeba wasimamizi wa mitihani Njombe

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,949
4,444
5.JPG

Gari la hospitali ya wilaya ya Njombe likiwa katika foleni
kunyonya mafuta sheri.



Katika hali isiyo ya kawaida huku kila kukicha tukilalamika maisha ya Watazania yanateketea kwa kukosa huduma za afya kama Ambulance,madawa,madaktari n.k Lakini wenzetu wilaya ya Njombe wanatumia Ambulance kusafilisha wasimamizi wa mitihani wa darasa la saba.

Swali la kujiuliza hivi Halmashauri imekosa kweli pesa za kukodi usafiri mwingine kama kweli hawana magari ya kutosha katika Halmashauri?

Inatia uchungu kweli sasa itokee kuna mgonjwa hapo anahitajika kupelekwa haraka kuokoa maisha yake hospitalini hapo maanake ndo basi tena mauti yatamkuta.

Hivi jamani hawa watendaji bomu tutawakumbatia mpaka lini?

Tunaendelea mpaka lini kuwapigia makofi huku hawajui wajibu wao katika kazi?
 
Poti nilikunongo'neza siku ile ingine....mwambie Geoff ajiandae kumpokea kijiti Makweta......! Kule kuna mambo bomu kweli, bila kuingiza watu wenye fikira chanya hayo mambo utaendelea kuyaona.....!

Tena bora wametumia kupeleka wasimamizi.......utachoka ukijaona wanabebea mkaa toka Nundu....!
 
Poti nilikunongo'neza siku ile ingine....mwambie Geoff ajiandae kumpokea kijiti Makweta......! Kule kuna mambo bomu kweli, bila kuingiza watu wenye fikira chanya hayo mambo utaendelea kuyaona.....!

Tena bora wametumia kupeleka wasimamizi.......utachoka ukijaona wanabebea mkaa toka Nundu....!

Kaka, si MA-KWE-TA tu wakupokelewa bali hata "ALIKWINA" naye inabidi apinduliwe kwa kura. Amekuwa mbunge kwa kipindi kirefu toka zama zile kupitia Jumuiya za Chama-Wanawake hadi leo bibi, bado tu.Na wala hana mpango wa kujing'atua dawa ni kupindua kwa kura wakina Msugupeigwite waingie madarakani.

Hiyo ya mkaa tisa bado hujaona wakilitumia kubebea watu wanaokwenda kwenye mazishi ya mheshimiwa fulani more than 60 km away from the district hospital. Humo ndani si kwamba mna vifaa vya huduma ya kwanza la, linfanya kazi kama "daladala" aka HIACE lakini abiria hawalipi kitu.

Kaka! be!
 
Siku moja nimekutana nalo Igosi kumbe lilikuwa linasanya?

Muulizeni Yona anafanya nini hapo? Mchagueni Philip Magula au mchapa kazi mwingine. Yono amekalia biashara zake jijini tu.
 
Poti nilikunongo'neza siku ile ingine....mwambie Geoff ajiandae kumpokea kijiti Makweta......! Kule kuna mambo bomu kweli, bila kuingiza watu wenye fikira chanya hayo mambo utaendelea kuyaona.....!

Tena bora wametumia kupeleka wasimamizi.......utachoka ukijaona wanabebea mkaa toka Nundu....!

Mkuu Mzee Makweta lazima aondoke sasa, lakini jimbo lake lipo huku Mji wa Makambako, ambao upo nje ya H/wilaya Njombe. Pale Town Mbunge ni Mhe. Anne Makinda (Naibu Spika).
 
Poti nilikunongo'neza siku ile ingine....mwambie Geoff ajiandae kumpokea kijiti Makweta......! Kule kuna mambo bomu kweli, bila kuingiza watu wenye fikira chanya hayo mambo utaendelea kuyaona.....!

Tena bora wametumia kupeleka wasimamizi.......utachoka ukijaona wanabebea mkaa toka Nundu....!

hahahahah!home boy unanipa mzuka kwelikweli.kuna umuhimu wa kusafiri kuelekea unyaluni mwezi ujao,lol!hili naona linawezekana kabisa
 
Siku moja nimekutana nalo Igosi kumbe lilikuwa linasanya?

Hehehe mkuu hili linasanya mpaka maeneo ya Makoga, linaenda mpaka Ikonda au linakula winga za Lupila si unajua kule barabara ngumu kama jiwe. Nimechoka sana mara utalikuta Lupembe unafikiri limefuata wagonjwa kumbe linakula vichwa.
 
Muulizeni Yona anafanya nini hapo? Mchagueni Philip Magula au mchapa kazi mwingine. Yono amekalia biashara zake jijini tu.

Mkuu huyu Mangula tunaelewa sasa hivi amejikita kijijini analima viazi lakini alijisahau mno alipo kuwa Katibu mkuu wa CCM akashindwa kabisa kukumbuka nyumbani kwakweli asijisumbue hata kuchukua formu anaweza pata kura za ukoo wake tu watu wanachuki nae.
 
Mkuu huyu Mangula tunaelewa sasa hivi amejikita kijijini analima viazi lakini alijisahau mno alipo kuwa Katibu mkuu wa CCM akashindwa kabisa kukumbuka nyumbani kwakweli asijisumbue hata kuchukua formu anaweza pata kura za ukoo wake tu watu wanachuki nae.

Sahihi kabisa, asitie hata mguu.....uliona vijana walivyomfanya kitu mbaya walipo amua kumtosa uenyekiti wa Mkoa wa sisiemu? alipata kura mbili au tatu tu!....wakampa mzee mzima Msigwa! aka mzee wa 70,000 kny Msiba wa wanafunzi.......unakumbuka?

We need young blood kule bana!
 
Kaka, si MA-KWE-TA tu wakupokelewa bali hata "ALIKWINA" naye inabidi apinduliwe kwa kura. Amekuwa mbunge kwa kipindi kirefu toka zama zile kupitia Jumuiya za Chama-Wanawake hadi leo bibi, bado tu.Na wala hana mpango wa kujing'atua dawa ni kupindua kwa kura wakina Msugupeigwite waingie madarakani.

Hiyo ya mkaa tisa bado hujaona wakilitumia kubebea watu wanaokwenda kwenye mazishi ya mheshimiwa fulani more than 60 km away from the district hospital. Humo ndani si kwamba mna vifaa vya huduma ya kwanza la, linfanya kazi kama "daladala" aka HIACE lakini abiria hawalipi kitu.

Kaka! be!

H!ha!ha!ha!ha!...umenikumbusha enzi za bifu kati ya alikwina na the famous Ngunangwa........!

Tatizo bibi ananetwork kubwa sana pale wilayani na pia na wakulu wa nchi ni mtu wao sana! The best thing cha kufanya, labda kupiga chini through chama kingine.....I know mwaka 1995.....Jimbo la Njombe Kusini walimpiga chini Mkapa.....Mrema alipata kura nyingi sana.....ndo maana Mkapa alikuwa hapendi kabisa kusikia habari za Njombe....! wale ndugu zetu, wakipigwa shule wanauelewa mkubwa sana wa siasa, coz uchumi hauwapigi chenga sana! wanaweza kujitegemea sana bila kulialia kwa serikali!

Ila mkuu Mnyamahodzo kama uko fit now, tia timu kafanye mambo 2010....ila kama hujawekeza mtaji kwa raia mapema wale watakupiga chini tu...bora usiende tu! Coming 2015 or 2020 if God wishes.....lazima nikawakomboe raia kule, umri utakuwa unaniruhusu sana wakati huo!
 
Muulizeni Yona anafanya nini hapo? Mchagueni Philip Magula au mchapa kazi mwingine. Yono amekalia biashara zake jijini tu.

Nemesis .....we have far better guys out there than this trap Mangula.....he has nothing to do for us.........! Yono yupo Magharibi, tatizo la kule hakuna potential candidates wengi, ila naye huyu hana lolote lakutufanyia Njombe kama Wilaya but ofcourse ni better than Nyimbo!

hahahahah!home boy unanipa mzuka kwelikweli.kuna umuhimu wa kusafiri kuelekea unyaluni mwezi ujao,lol!hili naona linawezekana kabisa

Please Geoff do the needful now.....mi tawaungeni mkono 2015 Kusini!
 
Sahihi kabisa, asitie hata mguu.....uliona vijana walivyomfanya kitu mbaya walipo amua kumtosa uenyekiti wa Mkoa wa sisiemu? alipata kura mbili au tatu tu!....wakampa mzee mzima Msigwa! aka mzee wa 70,000 kny Msiba wa wanafunzi.......unakumbuka?

We need young blood kule bana!

Ndo hapo mkuu tunataka mabadiliko haswa Mkoa wa Iringa kwa ujumla maana nakumbuka enzi hizo Mkoa ulikuwa unaongoza uzalishaji wa mahindi , pareto, chai lakini viongozi tulio kuwa nao ndo hao hao wanataka kuendelea kutudumaza. Pale sasa tunataka youth blood na sio vibabu na vibibi hivi.
 
Hii ni kudhalilisha sekta ya Afya. Alafu utasikia kila siku huko Tanzania kuna akina mama na watoto wanakufa kisa huduma za afya na umbali wa mahospitali.

lazima Serikali iliangalie hili.
 
Hehehe mkuu hili linasanya mpaka maeneo ya Makoga, linaenda mpaka Ikonda au linakula winga za Lupila si unajua kule barabara ngumu kama jiwe. Nimechoka sana mara utalikuta Lupembe unafikiri limefuata wagonjwa kumbe linakula vichwa.

Wazee haya magari huwa yanatumika sana kusafirisha mishahara. Maana yale ya security companies si mmeyashitukia.....!!!!!!!!! Kuna moja huwa linasanya toka pale hospitali ya misheni (ST nini sijui) kupitia Chita mpaka Mlimba. Jamaa tena ana nyumba ndogo pale Chita, hivyo likifika pale linapaki kama masaa kadhaa na baada ya hapo linatwanga kuelekea Mlimba likiwa na abiria wake. Huwezi kumlazimisha asipaki chita, maana hutaki shuka, na kushuka huwezi hakuna nsafiri mwingine........ Teheh.........
 
Nini ufanye ucheke usikitike ulie gari ya wagonjwa kugeuzwa gari ya kubeba abiria kweli kazi ipo.....Kura yangu ipo kwa wale wanaotaka mabadiliko wilaya ya Njombe..Damu changa inahitajika kuna baadhi ya viongozi wanahitaji kupumzika sasa wawaachie vijana
 
hiyo balaa linafika mpaka lupila kwetu,na lile la kituo cha afya lupila nasikia huwa linakaa kule halmashauri makete hatafu wagonjwa wasota pale kituo cha afya lupila bila gari.
 
Ndo hapo mkuu tunataka mabadiliko haswaMkoa wa Iringa kwa ujumla maana nakumbuka enzi hizo Mkoa ulikuwa unaongoza uzalishaji wa mahindi , pareto, chai lakini viongozi tulio kuwa nao ndo hao hao wanataka kuendelea kutudumaza. Pale sasa tunataka youth blood na sio vibabu na vibibi hivi.


Kimsingi mkuu sioni kwanini wilaya ambayo ni miongoni mwa top ten zenye uchumi wa juu Tanzania hadi leo kuwa na barabara moja ya lami, na yenyewe ni asante Malkia Elizabeth iliyofofunguliwa 1985[Makambako-Songea].

Nikipita kwenda LDW, nikasikia kituko kimoja alichofanya huyu bibi, inasikitisha.
Si unajua Dr Ngunangwa alikuwa mtu wamaendeleo! Basi Alikwina akijua Dr alikwisha weka plan ya kupeleka maji pale Kihesa,tanki kubwa liwe just karibu na NJOSS,ili watu wote waliochini yake wapate maji kwa gravitation force,Alikwina akaona lol! nikisema lijengwe palepale watasema napita kwenye plan za Dr. sas alichoamua akawashinikiza watu wa idara ya maji tanki likajengwa chini zaidi kwa umbali wa mita kadhaa.Matokeo yake watu wa kihesa ,walio juu ya mahali lilipo tank,tank wanaliona lakini maji "hawafaudu", wenzao wa chini "wanafaudu".
That was the plan of Alikwina a.k.a Bibi.

Kibaya zaidi babu alipogundua kuwa Lutondwe alitaka kuharibu kitumbua 2005, wamemvutatoka timu pinzani kumleta SemCem na sasa anacheza kama mid-fielder wa chama hicho.Aiubu!!

Tunahitaji damu mpya kweli isiyokuwa na woga.
 
Na huyu Mkuu Alatanga sijui nae vp naona kama anakubalika kubalika Njombe pale.
 
Na huyu Mkuu Alatanga sijui nae vp naona kama anakubalika kubalika Njombe pale.

Nyano!!
Alatanga si ndiyoyo huyo huyo Lutondwe, yupo kwapani sasa hivi. hana lolote sasa. Watu walishamwona madudu hela baada ya kuhamia SemCem.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom