Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,402
Watu wa familia moja katika Kijiji cha Lokiri, Kata ya Kashasha, Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wamenusurika kufa baada ya gari la TANESCO kugonga nyumba yao leo Septemba 15
Taarifa za awali zinadai gari hilo lilipata hitilafu katika mfumo wake wa breki
Taarifa za awali zinadai gari hilo lilipata hitilafu katika mfumo wake wa breki